Ipi bia ya asili yenye packaging na ladha nzuri?

Ipi bia ya asili yenye packaging na ladha nzuri?

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Habari wakuu. Naomba mwenye kujua anijuze ni ipi bia ya asili (local beer) ambayo iko packaged kwenye chupa na ina ladha nzuri. Naijua Chibuku tu lakini kwa mikoani naona imeshindwa kupata soko. Nina visehemu vya biashara ya kinywaji maeneo ya watu wa kipato kidogo naangalia product ya nzuri ya bei ya chini. Nimesikia kitu inaitwa Zabanga huko kanda ya ziwa ila sijawahi kuijaribu. Mimi Niko kanda ya kaskazini. Mwenye details zingine tafadhali. Ahsanteni
 
Chibuku uliiona wapi wakati sisi hapa mjini tuna miaka miwili hatujaiona? Siku hizi vijana wanapiga double kick mbadala wa kiroba chapa jogoo.
 
Chibuku uliiona wapi wakati sisi hapa mjini tuna miaka miwili hatujaiona? Siku hizi vijana wanapiga double kick mbadala wa kiroba chapa jogoo.
Kuna bar Fulani Arusha walikuwa wanauza ila kwa sasa hakuna
 
Double kick hapana aisee mimi ni mpenzi wa GIN na Sprit ila haka ka double kick nimetokea kuchukia smell yake
 
Back
Top Bottom