Ipi Biashara nzuri kati ya hizi?

Ipi Biashara nzuri kati ya hizi?

Developer_tz

Member
Joined
May 16, 2023
Posts
91
Reaction score
140
Salaam Wakuu!!

Ni muda wa kuweka vyeti kabatini na kuamua kuchakalika Sasa katika Elimu niliyopewa ni kuanzisha Biashara unique..Na kuanzisha Biashara unique ni changamoto.

Mimi mkazi wa Mwanza nimefanya Tafiti nikagundua Biashara ya supu ya pweza ni adimu sana na hii ni kwasababu ya usafirishaji sasa nikawa na option kama tatu hivi.

Kwa anaejua au Ushauri wa Hii biashara ya supu ya pweza nawezaje kupata mzigo from Dsm to Mwanza

Ikishindikana kuna option nyingine ya kuchoma nyama ya kuku. Na kuongeza vitafunwa kama chapati n.k kwahiyo naomba ushauri ipi Itafaa kati ya hizi

1.Biashara ya supu ya pweza

2.Biashara ya kukaanga kuku

Mtaji:250k(Laki mbili na nusu)
Meza jiko vyote vipo

Location
Mwanza mainly Nyegezi stand

.Wasakatonge
Kazi iendelee
Ahsante
 
Salaam Wakuu!!

Ni muda wa kuweka vyeti kabatini na kuamua kuchakalika Sasa katika Elimu niliyopewa ni kuanzisha Biashara unique..Na kuanzisha Biashara unique ni changamoto..Mimi mkazi wa Mwanza nimefanya Tafiti nikagundua Biashara ya supu ya
Ahsante
Achana na pweza.

Kaanga kuku.
 
Chips na kuku changanya za kienyeji na kisasa ukifanya kwa usafi wa hali ya juu na mapishi yawepo utauza mkuu .
 
Ila haya maisha ya vijana wa taifa letu yanafikirisha sana. Mkuu tafuta makaratasi (passport) tukajaribu na nje ya hii nyumba kama mikoani napo imekuwa jau.

Push to the limit 💪👊
Usimkatishe tamaa mkuu, mie nina passport mbili, ya kwanza ilijaa na ya pili ipo nusu, naongelea hizi mpya, nina elimu ya degree and other extra certificates tena ktk elite chuo nchi hii, huko nje sio pa masihara na kozi nzuri tu. Nishafanya projects nyingi hapa bongo na nje, kiufupi tu mie ni kati ya wale wa utafiti wa kuleta EFD Hapa bongo.

Namshauri afungue kijiwe cha chipsi, aweke mishikaki, kuku, samaki na juicy aina mbalimbali na asimamie mwenyewe atakuja nishukuru.
 
Salaam Wakuu!!

Ni muda wa kuweka vyeti kabatini na kuamua kuchakalika Sasa katika Elimu niliyopewa ni kuanzisha Biashara unique..Na kuanzisha Biashara unique ni changamoto..Mimi mkazi wa Mwanza nimefanya Tafiti nikagundua Biashara ya supu ya

.Wasakatonge
Kazi iendelee
Ahsante
Kama una shamba kalime mboga mboga
 
Salaam Wakuu!!

Ni muda wa kuweka vyeti kabatini na kuamua kuchakalika Sasa katika Elimu niliyopewa ni kuanzisha Biashara unique..Na kuanzisha Biashara unique ni changamoto..Mimi mkazi wa Mwanza nimefanya Tafiti nikagundua Biashara ya supu ya pweza ni adimu sana na hii ni kwasababu ya usafirishaji sasa nikawa na option kama tatu hivi.Kwa anaejua au Ushauri wa Hii biashara ya supu ya pweza nawezaje kupata mzigo from Dsm to Mwanza

ikishindikana kuna option nyingine ya kuchoma nyama ya kuku..Na kuongeza vitafunwa kama chapati n.k kwahiyo naomba ushauri ipi Itafaa kati ya hizi

1.Biashara ya supu ya pweza
2.Biashara ya kukaanga kuku

Mtaji:250k(Laki mbili na nusu)
Meza jiko vyote vipo

Location
Mwanza mainly Nyegezi stand

.Wasakatonge
Kazi iendelee
Ahsante
Biashara ni kuthubutu, we fungua Nyegezi stendi baadae weka na Branch Nyamhongoro, maisha yatasonga
 
Ila haya maisha ya vijana wa taifa letu yanafikirisha sana. Mkuu tafuta makaratasi (passport) tukajaribu na nje ya hii nyumba kama mikoani napo imekuwa jau.

Push to the limit 💪👊
"Kazi kipimo cha utu" Tupambane humuhumu
 
Mkuu tuungane tufungue BUHONGWA center,weka 100k na Mimi niweke 100k tuanze na kuku,chips,kongoro,vitafunwa.check me if okey
 
Back
Top Bottom