ogm12000
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 304
- 86
Kumekuwa na kasumba ya wa Tanzania kusema elimu ya nje ni rahisi kulingalisha ya TZ. Je ubora means ugumu?. Kwa kufungua mada ningependa kuongelea elimu ya Engineering. Navyofahamu mimi wezetu wa nje hasa hasa ulaya ya magharibi wameendelea sana katika technologia kitu ambacho kinafanya elimu wanaitoa iendane na technologia yao. I mean wako vizuri katika theory na technologia pia. Vile vile kipimo cha uelewa wa mwanafunzi kimebase kwenye course work rather than exams. Elimu ya TZ imelenga kumpima mtu kumbukumbu na sio uelewa kitu ambacho kina punguza creativity. Vile vile hii pelekea watu kumeza na si kuelewa.
Kama unaamini elimu ya TZ ni bora zaidi mbona tuna tunategemea ma senior engineers (experts) kutoka China, US and UK. Hasa pale unapohitajika ujuzi wa ziada?.
Kama unaamini elimu ya nje ni nzuri zaidi, je nini kifanyike ili kukuza ubora??. Let me make it short then tutaendelea kujadiliana
Kama unaamini elimu ya TZ ni bora zaidi mbona tuna tunategemea ma senior engineers (experts) kutoka China, US and UK. Hasa pale unapohitajika ujuzi wa ziada?.
Kama unaamini elimu ya nje ni nzuri zaidi, je nini kifanyike ili kukuza ubora??. Let me make it short then tutaendelea kujadiliana