YoungCorporate
JF-Expert Member
- Apr 30, 2010
- 391
- 114
Waswahili husema mchagua nazi huibukia.....Sasa nahitaji kijiusafiri kwa misele ya hapa na pale. Kutokana usawa wa mafuta machaguoa yangu yameangukia huku kwenye Toyota IST, Carina TI my road (cc 1500), Corolla Sedan na Mitsubishi colt. Mwenye uzoefu naomba anipatie insights kidogo kati ya gari izi ipi bora kwa nyanja zote....