Naomba unielewe mie mwenyewe nimepita ufundi bahati nzuri niliapasua na kuendelea na degree yangu vizuri , ninachosema mie nikuwa na wigo wa kuchagua fani zingine ni mdogo kwa mtu aliyepitia ufundi maana specialisation unaaza immediately , chukulia mafano wa mtu anayeenda kusoma certificate au diploma au FTC ya civil Engineering huyu mtu hawezi hawezi baadae kusomea Electronics au Electrical engineering, inabidi uendelee na Civil engineering au kama ulianza na telecommunications Engineering basi itabidi wewe uendelee na hiyo hiyo kozi.
Na kwa uelewa wa kijana aliyemaliza form 4 ni mdogo kujua professional yake mapema hasa kwa Tanzania.
Naomba unielewe mie mwenyewe nimepita ufundi bahati nzuri niliapasua na kuendelea na degree yangu vizuri , ninachosema mie nikuwa na wigo wa kuchagua fani zingine ni mdogo kwa mtu aliyepitia ufundi maana specialisation unaaza immediately , chukulia mafano wa mtu anayeenda kusoma certificate au diploma au FTC ya civil Engineering huyu mtu hawezi hawezi baadae kusomea Electronics au Electrical engineering, inabidi uendelee na Civil engineering au kama ulianza na telecommunications Engineering basi itabidi wewe uendelee na hiyo hiyo kozi.
Na kwa uelewa wa kijana aliyemaliza form 4 ni mdogo kujua professional yake mapema hasa kwa Tanzania.
Combination gani A level unataka? Na je unataka kusomea nn hapo baadae? Nakushauri uende A level kama upo vizuri kidogo , na hii itakupa muda wa kujua kitu gani hasa usomee na pia utakuwa na uwanja mpana wa kuchagua nini usomee baadae, mfano kama unachukua mchepuo wa PCM unaweza somea civil engineering, mechanical, electrical , telecommunications etc na kozi nyingine nyingi zikiwemo nyingi pake Ardhi ,pia mtu wa PCM pia anaweza kusomea kozi zingine zikiwemo za bihashara au procurement.
Ukienda vyuo vya Ufundi nikwambs wewe unakutayari umeshachagua fani yako kama utaamua kwenda kusoma telecommunications basi wewe ni hiyo na unakuwa huna options, kwa level yako itakuwa ndo umemaliz form 4 , kwa upande wa ufundi kuweza kufika chuo kikuu au level ya degree ningumu sana, sana sana utaishia level ya cheti amabacho kwa nchi yetu utaishia kubeba toolbox kwenye viwanda vya wahindi au kwenye vijiwe .
But pia kama uko vizuri ukipitia vyuo vya ufundi ukafika level ya juu utakuwa mtaalamu mzuri.
We unaeponda pcm ni kiazi hyo ndo best combination na Unasoma coz nyngi sana karb zote chuon xcept za afya km MD lakn takataka zote from bcom to engineering km Unahisi uko vizuri go for u will never regrect. Ila ni kuumia kiukweli ili uchomoke km uwezo hamna utazngua. Advance ndo shortest route kupata degree kuliko hvyo vyuo. Ukianza na diploma degree itakusumbua sana na believe me utakuja kuihitaji tu degree baadae ndo kaz itaanzia hapo lkn km uwezo wako ni wa kawaida go for it usijekosa vyote
Sionagi faida ya mtu kwenda kusoma pcm advance labda kwa combinations nyingine
Hapana, huwezi kuwa na first class undergraduate degree ukakosa kazi, If you are smart to that level huwezi kosa kazi kwa sababu at any rate you will be short listed during application and consequently interviewed! Degree ya karai utapata tabu kuajiriwa kwa sasa maana waombaji ni wengi. Sasa kuliko kukutwa na dhahama hiyo nenda ufundi! Utajiajiri! Hata mimi wanangu ambao naona A level itawasumbua wamekwenda ufundi na hawakosi angalau mkate wao wa asubuhi. Angalia ushauri wa post 5 hapo juu
We bwana unaniacha hoi. Yaani kila mtu awe na first class undergraduate level? Na jee, katika darasa moja lenye.wanafunz mathalan 40, wote watakuwa first class? Je second class hawana chao? Lakini in real life, hicho ulichosema ni nadharia au ndo halisi?
Acha dharau kijana hiyo combination ni nzuri sana sema tu labda hesabu imekuletea noma ndio maana unaiogopa, comnibation ni nzuri ial inahitaji self discipline otherwise wanakula kichwa
Sijajua dharau yangu iko wapi mkuu...alafu unijui izo argument za kuzinguliwa na hesabu sijui umetoa wapi...by the way zakuambiwa changanya nazako
Umesema hapo juu huonagi umuhimu wa mtu kusoma PCM advance sasa vyuo vyenye kozi za Engineering, Electronics, masomo kama ya science watapataje wanafunzi na je taifa litatoa wapi hao wataalamu wa hizo nyanja, taita linahitaji kila mtaalamu kwahiyo lazima kuna wanaotakiwa wasome PCM pia kama hujui hiyo combinataion let say kama UDSM inaruhusiwa kusoma kozi nyingi sana almost kama sikosei half the degree courses kama una PCM na umefaulu vizuri unaruhusiwa kusoma, nilisikia kipindi fulani hata degree ya Pharmacy kwa PCM unaweza ruhusiwa ila sina uhakika lakini ni combination nzuri sana huwezi kosa admission na ina uwanja mkubwa kuchagua usome nini. Ni maoni binafsi