Ipi Bora LG 4k au Smart tu ya kawaida?

kzba

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2014
Posts
1,355
Reaction score
789
Wale wajuzi wa mambo natamani kununua moja ya tv hizo tajwa hapo juu ila sijui maana ya hzo terms kati smart na 4k naomba kueleweshwa matumizi ya hizo technologia, na nahitaji kununua brand hyo ya Lg inchi 43.
Asanteni
Kama nitakuwa nimekosea jukwaa mniwie radhi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
4k ni nzuri ila uwe na bando la uhakika

Kwamfano ukiwa unaangalia movie kwenye netflix kwa 4k ... ndani ya saa moja gb kama saba ivi zitakatika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…