Asante. Nataka kitu ya uhakika ambayo haitasumbua, spare zipo, chaji inakaa na betri haifi haraka. Iweze kubeba kilo walau 160 na kutembea 80km kwa single charge. Sidhani kama hii utaipata kwa laki 6.
Mkuu hiyo siyo pikipiki ni baiskeli tu,ukiichaji unatembea nayo kilometres 70 chaji inakata,unanza kuizungusha na pedeli kama bike na ikiharibika spea zake utaimba haleluyah imekaa hovyo ipo chini sana kama mitoy ya watoto,yaani mtu mzima na wewe umekaa kwenye hicho kidude ukipiga mishentown[emoji3][emoji3]
4WD ya hayo magari siyo full time, ni za kuchagua matairi ya nyuma au ya mbele kutegemea na barabara. Kwa hiyo utumiaji wa mafuta si wa kutisha. Tazama hii link inaelezea jinsi ya hiyo system inavyofanya kazi