Ipi dawa nzuri ya kuwaongeza uzito kuku wa nyama?

Ipi dawa nzuri ya kuwaongeza uzito kuku wa nyama?

Mfonii

Member
Joined
Jul 2, 2021
Posts
50
Reaction score
34
Habari wana jamvi ? Naomba msaada kwa anae fahamu dawa nzuri ya kuongeza uzito kwa kuku wa nyama! Nina kuku zangu zina mwezi sasa ila hazina uzito kabisa. Nawasilisha kwenu wana jamvi.
 
Habari wana jamvi ? Naomba msaada kwa anae fahamu dawa nzuri ya kuongeza uzito kwa kuku wa nyama! Nina kuku zangu zina mwezi sasa ila hazina uzito kabisa. Nawasilisha kwenu wana jamvi.
Ungeenda kwenye maduka ya pembejeo za mifugo na kilimo wangekusaidia kwa haraka.
 
Dawa Ni chakula maji tu ,hakikisha Wana chakula 24hrs na maji na hakikisha Banda lao Ni kavu muda wote ,ikiwa hivyo utawauza siku 28
 
Kuna booster za kukuza kuku lakini hizo sidhani Kama ni nzuri kwa afya ya mlaji.

Wape chakula Cha dukani, weka taa bandani wale usiku na mchana. Na maji wasikose wakati wote.
 
Aiseee kumbe na uzito mnawaboost[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Hapo ni pesa tu inaangaliwa, mlaji atatiju!
 
Aiseee kumbe na uzito mnawaboost[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Hapo ni pesa tu inaangaliwa, mlaji atatiju!
[emoji3][emoji3] kila kitu kina madhara, kikubwa utumie kwa kiwango.
 
Kwenye ishu ya kuongeza uzito sio dawa bali chakuka unachowapa, chakula ndo kinachoongeza uzito. Kuku km broilers wanahitaji sana chakula chenye high contents of proteins husaidia kwny kukua haraka.
Umesema kuku wanamwezi hawajaongezeka uzito? Mwez kwa broiler ndo wakat wa kuuza. Unatumia chakula gan? Unanunua mwenyewe au unatengeneza? Na kuku wako wako wangapi?
 
Back
Top Bottom