Ipi gari ngumu kati ya Toyota RAUM NA Toyota PROBOX

Ipi gari ngumu kati ya Toyota RAUM NA Toyota PROBOX

Ugangaaa

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2017
Posts
370
Reaction score
554
Wadau habari ya Leo? Bado nipo kwenye harakati za kutafuta usafiri ambao utasaidia ktk harakati za kimaisha na familia, hasa safari za mikoani kwa mwezi mara 1.
Naomba msaada wa maawazo, ipi gari ngumu hapa ktya Toyota Raum na Toyota Probox?

1. Kuimili mikiki.
2. Matumizi ya mafuta
3. Matengenezo.

Naombeni ushauri wadau na mawazo chanya. Mana hii ndiyo itakuwa gari yng ya 1 kununua na naomba Mungu nipate Chombo ambacho kitaweza kukaa miaka angalau 7. Bajet ya gari isizid 13 milion.
 
Wadau habari ya Leo? Bado nipo kwenye harakati za kutafuta usafiri ambao utasaidia ktk harakati za kimaisha na familia, hasa safari za mikoani kwa mwezi mara 1.
Naomba msaada wa maawazo, ipi gari ngumu hapa ktya Toyota Raum na Toyota Probox?
1. Kuimili mikiki.
2. Matumizi ya mafuta
3. Matengenezo.

Naombeni ushauri wadau na mawazo chanya. Mana hii ndiyo itakuwa gari yng ya 1 kununua na naomba Mungu nipate Chombo ambacho kitaweza kukaa miaka angalau 7. Bajet ya gari isizid 13 milion.
Weka pichaaa
 
zote ngumu tu na uzuri engine zitakuwa aidha 1NZ au 1ZZ ambazo ni engine imara hasa ukikuta iliokuwa well maintained.
Tofauti ni kuwa Probox imekaa zaidi kama Van ina ukubwa kuliko Raum.
 
Probox a.k.a banda lipo poa sana. Buti kubwa cc 1490 hivi. Hata raum ni cc 1490 na hazili mafuta sana ni standard kabisa kwa hali zetu hizi za kiuchumi
 
Ni probox. Ukitaka kujua inavyokula mzigo na kuhimili mikiki nenda Kasulu ndo daladala za kubebea mizigo na abiria.
 
Gari ya kazi probox....kqma una duka au biashara za kubena mizigo ya hapa na pale...hutajuta
 
zote ngumu tu na uzuri engine zitakuwa aidha 1NZ au 1ZZ ambazo ni engine imara hasa ukikuta iliokuwa well maintained.
Tofauti ni kuwa Probox imekaa zaidi kama Van ina ukubwa kuliko Raum.
Ahsnteni kwa ushauri mkuu
 
Probox a.k.a banda lipo poa sana. Buti kubwa cc 1490 hivi. Hata raum ni cc 1490 na hazili mafuta sana ni standard kabisa kwa hali zetu hizi za kiuchumi
Kweli mkuu, mana vipato vya Kuunga unga bora uwe na chuma chenye uwezo wa kuhimili mikiki.
 
Nnatumia probox mwaka wa nne huu... aisee sijutii... gari ni ngumu hatari.. cha muhimu service tu.. baada ya hapo ni mwendo mdundo.. hainisumbui... napakia mzigo wa dukani kama kilo 600 ivi.. na kanakwenda.. mpaka sometime nakahurumia... naipenda sana probox yangu. Hata ikichoka nikiiuza kwa bei ya kutupa ntaongeza hela niagize ingine ilioko kwenye good condition.... mafuta inakula kidogo sana... kama IST tu.... ushauri wangu... kama mtu anataka hizi gari ndogondogo, bado sijaiona ya kuipiku probox.
 
Nnatumia probox mwaka wa nne huu... aisee sijutii... gari ni ngumu hatari.. cha muhimu service tu.. baada ya hapo ni mwendo mdundo.. hainisumbui... napakia mzigo wa dukani kama kilo 600 ivi.. na kanakwenda.. mpaka sometime nakahurumia... naipenda sana probox yangu. Hata ikichoka nikiiuza kwa bei ya kutupa ntaongeza hela niagize ingine ilioko kwenye good condition.... mafuta inakula kidogo sana... kama IST tu.... ushauri wangu... kama mtu anataka hizi gari ndogondogo, bado sijaiona ya kuipiku probox.
Ahsnte sana kwa kuniongezea ushuhuda Mkuu. Kiukweli napata faraja sana. Je kwa bajet yang ya mil 13, naweza ipata kwa kuagiza mpk niwe nayo mkononi?
 
Back
Top Bottom