Ipi Hospitali nzuri kwa Mama mjamzito kujifungua

Ipi Hospitali nzuri kwa Mama mjamzito kujifungua

Ms Billionaire

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2020
Posts
2,452
Reaction score
4,955
Habari wadau.

Hivi ni Hospitali gani nzuri kwa Mama mjamzito kujifungua.

CCBRT Maternity nimeskia ni mpya naomba kujua uzoefu kwa aliewahi kufika na kupatiwa huduma pale.

Comparing CCBRT na Muhimbili wapi kuna changamoto gani etc. Mfano
Kwenye kujifungua kawaida au operation wapi panafaa na wapi pana changamoto gani. Gharama na huduma kiujumla.

Natanguliza shukrani👏🏼
 
Tunao Wakunga wazuri hapa Arafa Tandika.
 
Habari wadau.

Hivi ni Hospitali gani nzuri kwa Mama mjamzito kujifungua.

CCBRT Maternity nimeskia ni mpya naomba kujua uzoefu kwa aliewahi kufika na kupatiwa huduma pale.

Comparing CCBRT na Muhimbili wapi kuna changamoto gani etc. Mfano
Kwenye kujifungua kawaida au operation wapi panafaa na wapi pana changamoto gani. Gharama na huduma kiujumla.

Natanguliza shukrani👏🏼
Sikushauri kwenda muhimbili aisee! Ni mbwa hao muhimbili aisee! https://jamii.app/JFUserGuide zao muhimbili
 
Nenda Michael Claud Hospital ipo Pembeni ya Kanisa la Kakobe MWENGE.
Huduma zao ni nzuri SANA
Wagonjwa ni wachache SANA kutokana na Gharama Kubwa
Mgonjwa akiwa hapo ni kama yupo nyumbani tu.
Gharama zake ni kuanzia 1M
 
Habari wadau.

Hivi ni Hospitali gani nzuri kwa Mama mjamzito kujifungua.

CCBRT Maternity nimeskia ni mpya naomba kujua uzoefu kwa aliewahi kufika na kupatiwa huduma pale.

Comparing CCBRT na Muhimbili wapi kuna changamoto gani etc. Mfano
Kwenye kujifungua kawaida au operation wapi panafaa na wapi pana changamoto gani. Gharama na huduma kiujumla.

Natanguliza shukrani[emoji1376]
CCBRT ni pazuri Sana, shemeji yangu kajifungulia pale alikuwa anatumia bima. Huduna ni nzuri, vitanda vya kisasa zaidi. Kuna private na kawaida hiyo sehemu ya kawaida tu ni fantastic..private unakuwa kwenye room yako, kawaida inakuwa kichumba kimoja watu wawili

Hospital Haina watu wengi kwahiyo hakuna msongamano plus madr qa uhakika maana Kuna mikono ya wadau pale.

Mda wowote unazama kumuona mzazi hakuna Sheria za kichawi kama muhimbili

Nakushauri nenda CCBRT Wana vifaa vyote
 
Kama uko Dar na mkeo ana bima wewe nenda directly Muhimbili tuu, sababu mambo ya uzazi hayanaga fundi asikuambie mtu, huko wanakokushauri umpeleke mkeo zikitokea complications basi next stop ni kupelekwa Muhimbili.

So kama uko Dar, wewe nenda tuu Muhimbili, achana na maneno ya kuponda, hakuna sehemu haina weakness yake.
 
Muhimbili na hospitali za serikali kwa ujumla ajue kugangamala aisee!

Kule si lelemama!

Mpaka utashangaa!

Ni noma sana!
 
CCBRT ni pazuri Sana, shemeji yangu kajifungulia pale alikuwa anatumia bima. Huduna ni nzuri, vitanda vya kisasa zaidi. Kuna private na kawaida hiyo sehemu ya kawaida tu ni fantastic..private unakuwa kwenye room yako, kawaida inakuwa kichumba kimoja watu wawili

Hospital Haina watu wengi kwahiyo hakuna msongamano plus madr qa uhakika maana Kuna mikono ya wadau pale.

Mda wowote unazama kumuona mzazi hakuna Sheria za kichawi kama muhimbili

Nakushauri nenda CCBRT Wana vifaa vyote
Asante sana kwa mchango wako.
 
Kama uko Dar na mkeo ana bima wewe nenda directly Muhimbili tuu, sababu mambo ya uzazi hayanaga fundi asikuambie mtu, huko wanakokushauri umpeleke mkeo zikitokea complications basi next stop ni kupelekwa Muhimbili.

So kama uko Dar, wewe nenda tuu Muhimbili, achana na maneno ya kuponda, hakuna sehemu haina weakness yake.
Asante sana
 
Unaweza kwenda Pugu Hospitali pia wako vzri sana kama atajifungua salama ,hatuombei hayo mengine yatokee ila ni fast utampata mwanao akiwa salama kabisa
 
Kama upo maeneo ya Madale,nenda pale Zahanati ya Madale ipo pale Madale Flamingo,mimi Mke wangu kajifungulia pale yani bure kabsa bila kutoa hela.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom