Ipi inafaa kwenye gari kati ya battery ya maji na dry?

Wabongo bhana kitu kidogo mtu anaomba ushauri jukwaani, Sasa hiyo ni betri sipati picha hiyo Gari waliombwa ushauri watu wangap?

Maana hata huu ushauri wa betri nahisi haujaanzia hapa jukwaani. Mtu Kama huyi hakawii kuomba ushauri kuwa mama yake anaomba pesa ampe au asimpe??
 
Gari ya kwake,Uzi wa kwake,betri anatafuta ya kwake halafu tunapangiana vya kupost?

Basi nenda kwenye ule Uzi unaoonesha mtu flani anafanyiwa operation ya 25
 
Anapoomba ushauri mmoja kuna wengine wananufaika kupitia ushauri huohuo.

Usichoke kuwashauri watu pia teknolojia zinabadilika kila kukicha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…