Ipi ni air defence system makini zaidi

Ngoja tuwasubiri wajuvi wa mambo izi
 
si bora ungeweka s 300 ya mrusi, au mwenzetu ni muhindi ?
 
Hazifanani kiutendaji kazi. Iron Dome ni short range defence system dhidi ya roketi, makombora ya mizinga, drone, cruise missiles n.k. katika umbali mfupi (chini ya km 70).

Barak 8 ni medium & long range defence system. Hii ni defence system dhidi ya ndege, helicopter za kivita, cruise missiles katika umbali wa kati na masafa marefu.

Kila moja iko makini kwenye kazi yake binafsi ila zote ni muhimu na zinategemeana katika masuala ya ulizi wa anga.

Pia, nikusahihishe kidogo. Hiyo Barak 8 ni ya Israel pia. Hata jina lenyewe ni la kiebrania. Ila, wakati wa kuiunda walifanya collaboration na India.
 
Hiyo Barak 8 ni moja ya air defense nzuri Sana, Azerbaijan waliitumia kuintercept Makombora ya Iskander yaliyorushwa na Armenia
 
M142 HIMARS ni ya US ndiyo kiboko yako.... ina detect na autoconfigure coordinates na kurusha kitu...... Putin anaijua hiyoooo

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…