Ipi ni akili nzuri: Kutumia trilioni 7 kusambaza maji safi kila nyumba nchi yote au kuweka treni ya mwendokasi Dar mpaka Mwanza?

Ipi ni akili nzuri: Kutumia trilioni 7 kusambaza maji safi kila nyumba nchi yote au kuweka treni ya mwendokasi Dar mpaka Mwanza?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!

Siijui bajeti ya SGR kiundani ila najua tu kuwa ni zaidi ya trilioni 7 zitatumika kama itaanzia Dar mpaka Mwanza ikipitia Morogoro na Dodoma.

Shilingi trilioni 7 ukiziweka kwenye miundombinu ya maji zinaweza kufanya kila kaya nchi yote kupata maji safi na salama na chenji inarudi.

Je, tulipaswa kuanza na treni ambayo inapita mikoa michache tu au kusambaza maji safi kila kaya nchi mzima?.
 
Mtoa mada jibu la hapo sio rocket science, ila elewa tunaishi kwenye nchi ambayo kuna royals ambao ndio wanaokula pie ya Taifa, TAZARA Railway imeachwa ife na central line pia,sababu kubwa wenye trucks na tankers waweze kufanya biashara ya usafirishaji, elewa one Goods trip ya treni from Dar hadi Tunduma ina uwezo wa kuyapumzisha malori zaidi ya 500, serikali inalijua hili na sio shida maana wenye nayo ndio wenye nayo.
 
Ni zitumike katika treni ya mwendokasi maana hakuna pesa zinazotafunwa kiurahisi na watu wasio waaminifu kama pesa za miradi ya maji safi

Hakuna serikali ambayo haijawahi kutenga mabilioni ya maji safi + wahisani lakini zinaishia kutafunywa tu na kuoneshwa matenki yasio na maji
 
Topic zongine huwa ni Rubbish [emoji1005]

Huwezi pinga miundombinu ambayo inakuja kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi kwa taifa zima,huku ikiomgeza soko kwa Bandari yetu kuu ya Dar es Salaam.

Kama nchi lazima tuwe na vipaumnele ambavyo ni positive in long future economic!

Hiyo hela itakayozalishwa huko ndio itakuja kuanzisha na kusambaza miradi ya maji kwa wakati mwingine kama kipaumbele cha wakati huo.

Naona kama unamtafita Magufuli kiaina!
Maana nyingi bila Magufuli hakuna mnaloweza waza nje ya Box!
 
Mapato ya reli yatawahi kuleta maji kwa wananchi. Yaani return ya treni Ni haraka kuliko maji. Ni sawa ununue gari la biashara ama ujenge nyumba. Gari inaweza ikajenga nyumba ndani ya one to two years Ila nyumba mapato take hayawezi nunua gari kwa muda huo
 
Kusambaza maji kutoka wapi kwenda wapi, maana maji yana vyanzo mbalimbali kutegemea na eneo na tayari kuna miradi ya maji maeneo yote nchini na watu wanaendelea kupata maji kutoka vyanzo mbalimbali, kutumia trilioni saba hayo maji unataka uyavute sayari ya Mars au?
 
Habari!

Siijui bajeti ya SGR kiundani ila najua tu kuwa ni zaidi ya trilioni 7 zitatumika kama itaanzia Dar mpaka Mwanza ikipitia Morogoro na Dodoma.

Shilingi trilioni 7 ukiziweka kwenye miundombinu ya maji zinaweza kufanya kila kaya nchi yote kupata maji safi na salama na chenji inarudi.

Je, tulipaswa kuanza na treni ambayo inapita mikoa michache tu au kusambaza maji safi kila kaya nchi mzima?.
Una familia inaitaji kula na kunywa na kutibiwa ,kwenda shule wewe ubahatika kuwa na mtaji wa biashara uwouwo mtaji unaweza kuweka maji nyumbani kwako ukaisha, je ipi muimu kuweka maji ukaisha au kufunguwa biashara ambayo italeta maji, kula, kusomesha watoto
 
Una familia inaitaji kula na kunywa na kutibiwa ,kwenda shule wewe ubahatika kuwa na mtaji wa biashara uwouwo mtaji unaweza kuweka maji nyumbani kwako ukaisha,je ipi muimu kuweka maji ukaisha au kufunguwa biashara ambayo italeta maji ,kula ,kusomesha watoto
Kila Bunge lazima asimame mbunge kuomba maji bungeni kwake.
Is not rubbish?

Miaka na miaka kila Bunge yaleyale
 
Habari!

Siijui bajeti ya SGR kiundani ila najua tu kuwa ni zaidi ya trilioni 7 zitatumika kama itaanzia Dar mpaka Mwanza ikipitia Morogoro na Dodoma.

Shilingi trilioni 7 ukiziweka kwenye miundombinu ya maji zinaweza kufanya kila kaya nchi yote kupata maji safi na salama na chenji inarudi.

Je, tulipaswa kuanza na treni ambayo inapita mikoa michache tu au kusambaza maji safi kila kaya nchi mzima?.
Maamuzi ya kisiasa bila kutumia weledi wa kitaaluma yameigharimu hii nchi pakubwa mno
 
Habari!

Siijui bajeti ya SGR kiundani ila najua tu kuwa ni zaidi ya trilioni 7 zitatumika kama itaanzia Dar mpaka Mwanza ikipitia Morogoro na Dodoma.

Shilingi trilioni 7 ukiziweka kwenye miundombinu ya maji zinaweza kufanya kila kaya nchi yote kupata maji safi na salama na chenji inarudi.

Je, tulipaswa kuanza na treni ambayo inapita mikoa michache tu au kusambaza maji safi kila kaya nchi mzima?.
Kwa hapa tulipofikia, tununue smelter tuanze kuzalisha chuma. Chuma kila siku tunatumia na tunauhitaji nacho sana.

Tunatumia madola mengi sana kuagiza bidhaa za Chuma kutoka nje. Sasa ifike wakati tuzalishe chuma kwa ajili ya matumizi yetu wenyewe na soko la nje pia
 
Kwa hapa tulipofikia, tununue smelter tuanze kuzalisha chuma. Chuma kila siku tunatumia na tunauhitaji nacho sana.

Tunatumia madola mengi sana kuagiza bidhaa za Chuma kutoka nje. Sasa ifike wakati tuzalishe chuma kwa ajili ya matumizi yetu wenyewe na soko la nje pia
Hizi nondo tunazotumia wanatumia chuma cha wapi?
 
Mkuu si kila mtu ana shida na maji, wengine sisi wamasai na wamang'ati matumizi yetu ya maji ni madogo, tuwekee hiyo chuma (train) tutembee tembee
 
Kwa hapa tulipofikia, tununue smelter tuanze kuzalisha chuma. Chuma kila siku tunatumia na tunauhitaji nacho sana.

Tunatumia madola mengi sana kuagiza bidhaa za Chuma kutoka nje. Sasa ifike wakati tuzalishe chuma kwa ajili ya matumizi yetu wenyewe na soko la nje pia
Kila siku Wahindi na Wachina wanatengeneza nondo fake kwa kutumia mabaki ya mabati na chuma
 
Habari!

Siijui bajeti ya SGR kiundani ila najua tu kuwa ni zaidi ya trilioni 7 zitatumika kama itaanzia Dar mpaka Mwanza ikipitia Morogoro na Dodoma.

Shilingi trilioni 7 ukiziweka kwenye miundombinu ya maji zinaweza kufanya kila kaya nchi yote kupata maji safi na salama na chenji inarudi.

Je, tulipaswa kuanza na treni ambayo inapita mikoa michache tu au kusambaza maji safi kila kaya nchi mzima?.
Sasa mtu atapataje sifa kwa kuweka mabomba ya maji kila nyumba? Sifa ipo kwenye SGR, bwawa la umeme, flyover, stendi kubwa ya mabasi, vitu kama hivyo. Hizo bomba za maji majumbani kwenu zitaonekana vipi na wenngi?
 
Sasa mtu atapataje sifa kwa kuweka mabomba ya maji kila nyumba? Sifa ipo kwenye SGR, bwawa la umeme, flyover, stendi kubwa ya mabasi, vitu kama hivyo. Hizo bomba za maji majumbani kwenu zitaonekana vipi na wenngi?
Cha ajabu kila Bunge tangu nikiwa mtoto lazima asimame mbunge kuomba maji.
Hii ni dalili mbaya ya akili kichwani mwa viongozi
 
Back
Top Bottom