Ipi ni kampuni bora ya kuagiza gari Japani

Ipi ni kampuni bora ya kuagiza gari Japani

Prodigy Oligarchy

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2020
Posts
571
Reaction score
653
Wana Jf habari,


Pameibuka makampuni mengi sana, ambayo yanajihusisha na uuzaji magari kutoka japan kuleta huku
Na kila moja akijitangaza kuwa bora zaidi.
Kitu ambacho kwa wageni ambao wanahitaji kufanya maamuzi ya uagizaji, huwa kinawachanganya, wasijue ipi ni sahihi ipi sio.

Naamini tunao watu humu ambao wameshawahi kuagiza magari mara kadha wa kadha kwenye kampuni moja ama mbalimbali japan n.k hivyo wana experience nzuri.

Ipi ni kampuni bora kabisa na ambayo unaweza kuitumia kwaajili ya kuagiza gari/magari kwayo, kampuni ambayo bila wasi wasi unaweza hata kumshauri mtu aagize gari lake Kwayo kwa sababu ni ya kuamini, na kamwe huwezi jutia.

Tunaomba kujifunza, kabla ya kufanya maamuzi ya manunuzi.

Ahsante

P. Oligarchy.
 
Ooh, ahsante. Nimecheck naona kama ni muda sana lakini. Naamini huwa kuna kitu kinaitwa kupanda na kushuka, huwenda aliyekua kinara 2017, sasahivi akawa sio kinara. Na aliyekua wa mwisho, sasahivi akawa kinara
 
Itakua kheri sana, kama wapo wenye ufahamu na taarifa sahihi wakatujuza.
 
Kuna jamaa wanaitwa kct wapo vizuri sana
Wana Jf habari,


Pameibuka makampuni mengi sana, ambayo yanajihusisha na uuzaji magari kutoka japan kuleta huku
Na kila moja akijitangaza kuwa bora zaidi.
Kitu ambacho kwa wageni ambao wanahitaji kufanya maamuzi ya uagizaji, huwa kinawachanganya, wasijue ipi ni sahihi ipi sio.

Naamini tunao watu humu ambao wameshawahi kuagiza magari mara kadha wa kadha kwenye kampuni moja ama mbalimbali japan n.k hivyo wana experience nzuri.

Ipi ni kampuni bora kabisa na ambayo unaweza kuitumia kwaajili ya kuagiza gari/magari kwayo, kampuni ambayo bila wasi wasi unaweza hata kumshauri mtu aagize gari lake Kwayo kwa sababu ni ya kuamini, na kamwe huwezi jutia.

Tunaomba kujifunza, kabla ya kufanya maamuzi ya manunuzi.

Ahsante

P. Oligarchy.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakamilisha uwakala wa kuagiza magari, soon ntakupa vigezo vya kuzingatia kabla hujachagua mojawapo
Kwa ufupi hakuna kampuni moja inayozidi wengine kwa vigezo vyote. Tazama kigezo gani kipaumbele kwakokama ni unafuu wa bei, gari kuwahi kufika, magari yanayodumu n.k , kisha wasiliana na wote upate unachotaka
 
Kampuni zote hununua gari sehemu moja, auction house Japan.

Chakuzingatia ni auction grade ya gari boss,
Jaribu kupata gari yenye auction grade 4

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kutolewa ujinga kidogo juu ya biashara mana naona kumekuwa na ongozeko la vkampuni ving vya aujent wa magari...nachohitaj kujua ni kuwa hawa jamaa (maajent) wanafaidika kwa namna gan? Je bei inayowekwa kwa kila gar au chombo ni plas+ ushuru na cost zote had kukufkia au kuna charges nyingine baada ya kufka bandarini?........mwenye uzoefu plz naomba anisaidie uzoefu......


Pia naomba kujua vitu kama hv (ktk picha) naaweza agiza kwa site gan?

20200403_161309.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla hujanunua gari lolote kutoka Japan mwambie agent au sales person Wako akuonyeshe inspection sheet kutoka kwa auction house, make sure its OG, hii itakuonyesha ukweli kuhusu km gari IMETEMBEA (gari nyingi zinakuja bongo ni grade 3 sometimes very high mileage but huwa wana mess na odometer hasa hawa wa showrooms..
Watz wengi hawana elimu ya magari, wanachotaka wao ni bora waendeshe gari but UBORA sio muhimu sana.
Unapimaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DN HOLDINGS COMPANY LIMITED ni logistics company inahusika sana na kutoa shehena za mizigo mbalimbali bandarini kama mawakala wa forodha(clearing and forwading)

DN HOLDINGS COMPANY LIMITED tunapatikana nkrumaha street P.O.BOX 6924 Dar es Salaam na kamata stesheni ya train. KWA MAWASILIANO TUPIGIE AU WHATSAPP NO:+255759040449/0683354565 AU BARUA PEPE: info@dnh.co.tz

HUDUMA TUNAZOTOA

CLEARING OF VEHICLE,CONTAINER NA LOOSE CARGO KWA BANDARI ZOTE TANZANIA NA AIRPORT
HANDLING AND DELIVERY: UKIFANYA KAZI NA DN HOLDINGS PIA KUNA HUDUMA YA KUKUFIKISHIA MZIGO WAKO KWA GHARAMA NAFUU HADI SEHEMU HUSIKA .. KAMA TRANSIT HADI BORDER.
IMPORTS AND EXPORTS: KWA HUDUMA ZA KUSAFIRISHA KITU NJE YA NCHI AU KUINGIZA KITU NCHINI PIA WASILIANA NASI
VESSEL TRACKING AND GPS TRACKING HUDUMA HII NI BURE UTAPEWA TAARIFA SAHIHI NA BURE YA MELI YENMYE MZIGO WAKO MPAKA INAFIKA BANDARIN NA PIA UTAPATA HUDUMA YA GPS KWA GARI AU CONTAINER ZA TRANSIT..
KARIBU MTEJA, AGENTS KUTOKA TANZANIA , WAKALA KAMA UNA MAGARI AU UNAWATU WANAHITAJI HII HUDUMA TUFANYE KAZI.
DN HOLDINGS COMPANY LIMITED for your logistics solution...... karibu kwa mawazo , maswali ..
 
Back
Top Bottom