mwanaharakatimpya
Member
- May 8, 2012
- 11
- 2
nilichokua namaanisha ni kwamba yani ni ipi kozi nzuri kati ya MSC Marketing na MBA corporate!!kazi sio issue mna mtu anasoma Computer science na anaenda fanya kazi za HR
Habari zenu wadau?mm ni mwanaharakati mpya na nilisoma elimu yangu ya chuo miaka mitatu ya kozi ya it na badae post ya business administration ambayo ni jeneral!!sasa swali langu ni hivi kati ya masters ya marketing na corporate management zote zinazotolewa na mzumbe compus ya dar es salaam!!naomba kuwasilisha[/QUOT
daa kweli ndugu umeshachanganyikiwa.......mpaka level hii hujui kitu cha kusoma......kwani wewe unataka kuwa nani
ushauli wangu.....
MBA in Corporate Management z good