Ipi ni kozi yenye uwanda mpana kati ya Shahada ya Uchumi au Biashara na Utawala?

Ipi ni kozi yenye uwanda mpana kati ya Shahada ya Uchumi au Biashara na Utawala?

Cainan

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2017
Posts
461
Reaction score
540
Habari za jioni wana JF ..nipo katika njia panda kuchagua kati ya Business administration au Economics ili niweze kuisoma , ningependa kufahamu au kupokea ushauri kutoka kwa wana JF.

Ipi inafaa katika terms za kuitumia katika fursa za kujiajiri zaidi namaanisha uendeshaji wa shughuli ki-professional zaidi .

Pia ni kozi hipi kati ya hizo yenye fursa sana katika jamii yetu ya Leo ..natanguliza shukrani kwa msaada nitakao saidiwa..nakaribisha mawazo na kadharika
 
Habari za jioni wana JF ..nipo katika njia panda kuchagua kati ya Business administration au Economics ili niweze kuisoma , ningependa kufahamu au kupokea ushauri kutoka kwa wana JF.

Ipi inafaa katika terms za kuitumia katika fursa za kujiajiri zaidi namaanisha uendeshaji wa shughuli ki-professional zaidi .

Pia ni kozi hipi kati ya hizo yenye fursa sana katika jamii yetu ya Leo ..natanguliza shukrani kwa msaada nitakao saidiwa..nakaribisha mawazo na kadharika
Soma marketing management
Au business administration in HR
Au afya
Zingine ni shida
 
katika course bora za biashara bora kabisa basi BBA inabakia kuwa course bora kabisa tena hakikisha unasoma ile general isiyo na specilisation kabisa

BBA inabeba module zifuatazo ambazo utaweza kufanya kazi kada tofauti tofauti

1. Business Environment hili somo litakufanya ujue internal and external forces za uendeshaji wa kampuni yoyote ile
2. Marketing Management, hapa mambo yote ya positioning,targeting and differentiation kiufupi kila kitu kuhusu marketing utakipata hapa kuanzia strategies mpaka reseach zake hapa ukimpata phillip cotler utaenjoy sana
3. Marketing research
4. E commerce
5. Service Marketing

hizo ni module muhimu sana za wataalamu wa marketing ambazo utazioata ukisoma BBA

BBA Pia inabeba module za Accounting ambapo ukitokea BBA ili ufanye CPA kwa kuwa CPA ina level 3 na kila level ina masomo yake hivyo basi ukitokea BBA kuna masomo 2 ya fondation ambayo utafutiwa na utaanza 3 baada ya hapo utaenda zako intenidate kama hayo 3 utafaulu utofauti na mtu wa mtu wa Accounting aliyefanya degree hiyo moja kwa moja masomo ya foundation yote anafutiwa

BBA utajifunza module za accounting kama ifuatavyo

1. Management Accounting
2. Corporate finance
3. Business Accounting
4. Business Mathematics
5. Business Law ( HILI LITAFUTWA LEVEL YA FOUNDATION )
6. Cost Accounting
7. Quantitative Method ( HILI LITAFUTWA LEVEL YA FOUNDATION )
8. Taxation
9. Financial Management
10 Risk Management

NOTE: BBA kwa module za accounting huwa waingii deep sana ila kama una malengo mazuri baada ya kupata msingi huo chimba vizuri zaidi ya hapo

BBA ina module za HR kama ifuatavyo

1. Human resource Management hapa utasoma recruitment and selection, performance appraisal, human resource planning, human resource training and development
2. labour law
3. Legal Context of Employment Relations
4.
Human Resource Information Systems
5. Strategic Management

sasa kwa kupitia hapo tu unaweza kufanya HR department kitengo chochote kile


Kwa maoni yangu BBA inawigo mpana sana wa kukufanya uajiriwe kirahisi sana na wigo wake ni mpana sana maana hata hapo kunamengine nimeyaacha kama kusaidia watu kufungua kampuni brela kuandaa memat na hata kusaidia wageni kuweza kupata permit za kuishi na kufanya kazi BBA inakupa package yote hiyo
 
katika course bora za biashara bora kabisa basi BBA inabakia kuwa course bora kabisa tena hakikisha unasoma ile general isiyo na specilisation kabisa

BBA inabeba module zifuatazo ambazo utaweza kufanya kazi kada tofauti tofauti

1. Business Environment hili somo litakufanya ujue internal and external forces za uendeshaji wa kampuni yoyote ile
2. Marketing Management, hapa mambo yote ya positioning,targeting and differentiation kiufupi kila kitu kuhusu marketing utakipata hapa kuanzia strategies mpaka reseach zake hapa ukimpata phillip cotler utaenjoy sana
3. Marketing research
4. E commerce
5. Service Marketing

hizo ni module muhimu sana za wataalamu wa marketing ambazo utazioata ukisoma BBA

BBA Pia inabeba module za Accounting ambapo ukitokea BBA ili ufanye CPA kwa kuwa CPA ina level 3 na kila level ina masomo yake hivyo basi ukitokea BBA kuna masomo 2 ya fondation ambayo utafutiwa na utaanza 3 baada ya hapo utaenda zako intenidate kama hayo 3 utafaulu utofauti na mtu wa mtu wa Accounting aliyefanya degree hiyo moja kwa moja masomo ya foundation yote anafutiwa

BBA utajifunza module za accounting kama ifuatavyo

1. Management Accounting
2. Corporate finance
3. Business Accounting
4. Business Mathematics
5. Business Law ( HILI LITAFUTWA LEVEL YA FOUNDATION )
6. Cost Accounting
7. Quantitative Method ( HILI LITAFUTWA LEVEL YA FOUNDATION )
8. Taxation
9. Financial Management
10 Risk Management

NOTE: BBA kwa module za accounting huwa waingii deep sana ila kama una malengo mazuri baada ya kupata msingi huo chimba vizuri zaidi ya hapo

BBA ina module za HR kama ifuatavyo

1. Human resource Management hapa utasoma recruitment and selection, performance appraisal, human resource planning, human resource training and development
2. labour law
3. Legal Context of Employment Relations
4.
Human Resource Information Systems
5. Strategic Management

sasa kwa kupitia hapo tu unaweza kufanya HR department kitengo chochote kile


Kwa maoni yangu BBA inawigo mpana sana wa kukufanya uajiriwe kirahisi sana na wigo wake ni mpana sana maana hata hapo kunamengine nimeyaacha kama kusaidia watu kufungua kampuni brela kuandaa memat na hata kusaidia wageni kuweza kupata permit za kuishi na kufanya kazi BBA inakupa package yote hiyo
Asante sana ndugu , umenifafanulia kwa urefu sana kozi ya BBA nmeondoa wasiwasi kuhusu BBA
 
Kama unataka kupata ajira kwenye taasis za Kifedha. Soma Economics. BBA ni kama machinga. Kila chuo siku hizi ipo. Ni open course!
 
katika course bora za biashara bora kabisa basi BBA inabakia kuwa course bora kabisa tena hakikisha unasoma ile general isiyo na specilisation kabisa

BBA inabeba module zifuatazo ambazo utaweza kufanya kazi kada tofauti tofauti

1. Business Environment hili somo litakufanya ujue internal and external forces za uendeshaji wa kampuni yoyote ile
2. Marketing Management, hapa mambo yote ya positioning,targeting and differentiation kiufupi kila kitu kuhusu marketing utakipata hapa kuanzia strategies mpaka reseach zake hapa ukimpata phillip cotler utaenjoy sana
3. Marketing research
4. E commerce
5. Service Marketing

hizo ni module muhimu sana za wataalamu wa marketing ambazo utazioata ukisoma BBA

BBA Pia inabeba module za Accounting ambapo ukitokea BBA ili ufanye CPA kwa kuwa CPA ina level 3 na kila level ina masomo yake hivyo basi ukitokea BBA kuna masomo 2 ya fondation ambayo utafutiwa na utaanza 3 baada ya hapo utaenda zako intenidate kama hayo 3 utafaulu utofauti na mtu wa mtu wa Accounting aliyefanya degree hiyo moja kwa moja masomo ya foundation yote anafutiwa

BBA utajifunza module za accounting kama ifuatavyo

1. Management Accounting
2. Corporate finance
3. Business Accounting
4. Business Mathematics
5. Business Law ( HILI LITAFUTWA LEVEL YA FOUNDATION )
6. Cost Accounting
7. Quantitative Method ( HILI LITAFUTWA LEVEL YA FOUNDATION )
8. Taxation
9. Financial Management
10 Risk Management

NOTE: BBA kwa module za accounting huwa waingii deep sana ila kama una malengo mazuri baada ya kupata msingi huo chimba vizuri zaidi ya hapo

BBA ina module za HR kama ifuatavyo

1. Human resource Management hapa utasoma recruitment and selection, performance appraisal, human resource planning, human resource training and development
2. labour law
3. Legal Context of Employment Relations
4.
Human Resource Information Systems
5. Strategic Management

sasa kwa kupitia hapo tu unaweza kufanya HR department kitengo chochote kile


Kwa maoni yangu BBA inawigo mpana sana wa kukufanya uajiriwe kirahisi sana na wigo wake ni mpana sana maana hata hapo kunamengine nimeyaacha kama kusaidia watu kufungua kampuni brela kuandaa memat na hata kusaidia wageni kuweza kupata permit za kuishi na kufanya kazi BBA inakupa package yote hiyo
Good teacher
 
Back
Top Bottom