Ipi ni njia sahihi na murua kabisa ya Kumalizana na Mtu ambaye ' anakoroma ' sana na umelala nae Chumba Kimoja?

Ipi ni njia sahihi na murua kabisa ya Kumalizana na Mtu ambaye ' anakoroma ' sana na umelala nae Chumba Kimoja?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Je...

  1. Umpige bonge la Mbata
  2. Umwamshe na Umlambe bonge la Kofi
  3. Umwamshe na Uanze Kumuhubiria neno la Mungu labda ana Pepo
  4. Umwagie Maji ya baridi Usoni
  5. Umkandamizie na Barafu Shingoni au Usoni mwake
  6. Umbebe ukamlaze Nje ili akiamka atie Adabu
  7. Umwamshe kisha uanze tu kupiga nae Stori za akina Messi na Ronaldo
Nawasilisha.
 
Bora anae koroma kuliko anae kata mashuzi kama mizinga 21 ya rais mwalikwa.


Ndukiiiii🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Muwekeee
1.Unga wa klorokwini
2.muwekee pilipili kichaa kwenye lipsi
3.Mnusishe chupi ya demu sehemu ya mstari WA uke.
 
Bora anae koroma kuliko anae kata mashuzi kama mizinga 21 ya rais mwalikwa.


Ndukiiiii🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

Kujamba kuna ' Intervals ' zake Mkuu ila ' Kukoroma ' ni mwanzo mwisho na nadhani hujawahi kupata bahati ya Kulala ama Chumba au Kitanda Kimoja na Mtu ' anayekoroma ' nadhani ukiwa na Hasira za haraka za Watu wa ' Kanda Maalum ' kama Mimi basi kila Siku unaweza ukawa ' unampiga ' tu kama siyo hata ' Kumjeruhi ' kabisa.
 
Dawa sahihi ni wewe kukoroma pia! Kama kukoroma ni makosa ya kiufundi ya Mungu, basi hata kutokukoroma yaweza kuwa ni hitilafu kubwa zaidi.

Usipokoroma tutajuaje upo hai?
 
Muwekeee
1.Unga wa klorokwini
2.muwekee pilipili kichaa kwenye lipsi
3.Mnusishe chupi ya demu sehemu ya mstari WA uke.

Sababu yako ya Tatu ( 3 ) hiyo imenithibitishia pasi na shaka kabisa kuwa Siku hizi unavuta Bange / Bangi ya Kiwango cha juu kabisa Mkuu ambayo hata Marehemu na Muasisi mwenyewe Bob Marley na Swahiba wake Peter Tosh hawakuwahi Kuitumia hadi Kufa kama siyo Kufariki Kwao.
 
Dawa sahihi ni wewe kukoroma pia! Kama kukoroma ni makosa ya kiufundi ya Mungu, basi hata kutokukoroma yaweza kuwa ni hitilafu kubwa zaidi.

Usipokoroma tutajuaje upo hai?

Nadhani sasa taratibu tunaanza kuwajua wale ' Team Kukoroma ' Usiku kwa aina ya Utetezi wao kwa ' Wakoromaji ' Wenzao.
 
Mkuu hapo jambo lahis la kufanya ni moja tu.

Maana ukimsumbua kwa kumpiga au kumuamsha, lazima mtakolofishana na kama anakuzid mababu atakushushia mabanzi zaidi ya moja.

Chakufanya wew ingia kulala nae alafu jifanye na wew umesinzia...
Lala nae opposite kisha mkanyage chini ya kidevu kwa kutumia mguu wako,

Ukifanya hivo atarekebisha urimi wake ambao ulikua umerud ndani kidogo na ndio unamfanya yeye kutoa sauti ya mkolomo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hapo jambo lahis la kufanya ni moja tu.

Maana ukimsumbua kwa kumpiga au kumuamsha, lazima mtakolofishana na kama anakuzid mababu atakushushia mabanzi zaidi ya moja.

Chakufanya wew ingia kulala nae alafu jifanye na wew umesinzia...
Lala nae opposite kisha mkanyage chini ya kidevu kwa kutumia mguu wako,

Ukifanya hivo atarekebisha urimi wake ambao ulikua umerud ndani kidogo na ndio unamfanya yeye kutoa sauti ya mkolomo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh, mkuu hi njia IPO kitalamu?
Maana sababu za mtu kukoroma
1) kuchoka Sana
2) uzito kupita kiasi
3) hewa kuwa nzito, upungufu was oksijeni
4) kurithi japo haijathibitishwa

House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
 
Mkuu hapo jambo lahis la kufanya ni moja tu.

Maana ukimsumbua kwa kumpiga au kumuamsha, lazima mtakolofishana na kama anakuzid mababu atakushushia mabanzi zaidi ya moja.

Chakufanya wew ingia kulala nae alafu jifanye na wew umesinzia...
Lala nae opposite kisha mkanyage chini ya kidevu kwa kutumia mguu wako,

Ukifanya hivo atarekebisha urimi wake ambao ulikua umerud ndani kidogo na ndio unamfanya yeye kutoa sauti ya mkolomo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha.....Shikamoo Mkuu. Muda wako ukiwa huru nakuomba uwe unajikita zaidi katika Kufanya ' Ukomedi ' kwani una Sifa zake zote muhimu. Kila nikirudia ulichokiandika hapa mbavu sina kwa Kucheka.
 
Mkuu hapo jambo lahis la kufanya ni moja tu.

Maana ukimsumbua kwa kumpiga au kumuamsha, lazima mtakolofishana na kama anakuzid mababu atakushushia mabanzi zaidi ya moja.

Chakufanya wew ingia kulala nae alafu jifanye na wew umesinzia...
Lala nae opposite kisha mkanyage chini ya kidevu kwa kutumia mguu wako,

Ukifanya hivo atarekebisha urimi wake ambao ulikua umerud ndani kidogo na ndio unamfanya yeye kutoa sauti ya mkolomo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee 😄😄
 
Kulala na mtu anaye koroma ina kera mno sisi wengine ili tupate usingizi lazima sehemu iwe kimya kelele kidogo umestuka unaweza ukawa unakesha. Niliwahi Kulala na anaye koroma tulikesha wote akikoroma kidogo namstua.
 
Ni mkeo? Kama si mkeo soln ni kuhama kwa shemeji yako uoe na ujitegemee madhara ya kukaa kwa dada ndo hayo kila mgeni anayekuja unasikiziwa ulale naye.
 
Back
Top Bottom