Ipi ni njia sahihi ya kuendelea kutoa pesa kwa ajil ya matumizi ya mtoto?

Ipi ni njia sahihi ya kuendelea kutoa pesa kwa ajil ya matumizi ya mtoto?

Joined
Sep 9, 2024
Posts
12
Reaction score
254
Ipi ni njia sahihi ya kuendelea kutoa pesa kwa ajil ya matumizi ya mtoto?

Nimezaa na Binti mmoja kutoka SINGIDA kiufupi Nalazimishwa kufunga ndoa na mhusika lakini Binafsi sipo Tayar ktk Hilo kutokana na tabia alizokuwa kuwa NAZO.

Huyu Binti amekuwa Jeuri, kiburi, hashauriki kwachochote Mm kama mwanaume siwezi kuendelea kuvumilia.

Na mbaya Zaid nije kuoa mtu wa namna hiii Nilkuwa natoa laki 2 monthly kwa ajili ya matumizi ya mtoto lakini kwa sasa baada ya kutofautiana Nimestopisha kutuma pesa husika.

Sasa nahitaj kupata ushauri nitumie njia zipi Kuendelea kumhudumia Damu yangu?

Lakini sihitaji mawasiliano wala kuwasiliana na Mama wa mtoto
 
Ipi ni njia sahihi ya kuendelea kutoa pesa kwa ajil ya matumizi ya mtoto?

Nimezaa na Binti mmoja kutoka SINGIDA kiufupi Nalazimishwa kufunga ndoa na mhusika lakini Binafsi sipo Tayar ktk Hilo kutokana na tabia alizokuwa kuwa NAZO.

Huyu Binti amekuwa Jeuri, kiburi, hashauriki kwachochote Mm kama mwanaume siwezi kuendelea kuvumilia.

Na mbaya Zaid nije kuoa mtu wa namna hiii Nilkuwa natoa laki 2 monthly kwa ajili ya matumizi ya mtoto lakini kwa sasa baada ya kutofautiana Nimestopisha kutuma pesa husika.

Sasa nahitaj kupata ushauri nitumie njia zipi Kuendelea kumhudumia Damu yangu?

Lakini sihitaji mawasiliano wala kuwasiliana na Mama wa mtoto
Kuhudumia mtoto wako wa damu, ndiyo unataka jukwaa likushauri? Hebu nenda kahudumie mtoto wako acha kufafuta njia za ujanja ujanja za kukwepa kumhudumia mwanao.

Ova
 
Kausha hadi aende ustawi wa jamii mkaelewane huko
 
Wakati mnakulana mpaka mimba hukujua n Jeuri, kiburi, hashauriki kwachochote?

Mzee em toa pesa hiyo acha kulialia, halafu nyie wapuuzi ndo mnakuja kututukana sisi tunaoishi na wanawake mliozaa nao wakati tunawabebea mizigo yenu.
 
Uhusiano una changamoto sana ,pole sana kwa yaliyokukuta....Kwa mtu ambaye hajawahi kukutana na challenge hizi atachukulia simple....Ugomvi wa baba na mama mara nyingi unawaathiri sana watoto...Watoto wanalelewa na baba na mama ,sehemu yenye ugomvi baba hatotoa fedha kwa moyo wake maana atatoa kidogo kumkomoa mwenza wake lakini on the other hand amauathiri mtoto pia.
 
Ukisoma comments utagundua JF kuna vitoto vya 2000 vingi sana havijitambui

Mleta mada kwanza pole sana hizo changamoto kama hizijakupata huwezi jua balaa lake
Jitahidi usiache kutuma hela ya matumizi
 
Nenda kwenye dawati watakupangia kiasi na hua kdogo sana kama 50k tu atatamani ata hyo 200k uliokua unatoa, ila kama unaimudu endelea kutoa hyo hyo imsaidie dogo.

Usiache kumhudumia dogo ata iweje.
 
Back
Top Bottom