MakasirikoKAPIGE ya kwako isikuchanganye
We bwashee unaumia nini Mbowe akinywa konyagi?Bapa
Wapi umeona Mbowe anakunywa konyagi?We bwashee unaumia nini Mbowe akinywa konyagi?
Mkuu kwani mgeni hawezi kukataa yani inafunguliwa tu upo umekaa😂😃Kweli Mwenyekiti ni mnywaji kweli yaani kwake mgeni anatengewa konyagi badala ya maji
Hizi picha zinachanganya ipi ni halisi
USSR View attachment 2502429View attachment 2502430
ZOTE FEKI, original niliiona mapema japo sikuihifadhi, haina chupa ya konyagi, hata ukiangalia tu kimwonekano, chupa ya konyagi ni ya ku edit
🤣🤣🤣🤣WaTz sijui wapoje.Haijalishi kwani mtu akama anakunywa hela yake inawahusu nini?
Dah hata hyo editing unaamin kuna faru johnKweli Mwenyekiti ni mnywaji kweli yaani kwake mgeni anatengewa konyagi badala ya maji