Ipi ni receiver bora ya FTA kwa sasa?

Culminate

Member
Joined
Jul 24, 2019
Posts
90
Reaction score
81
Habari wakuu!

Nahitaji kupata FTA channels. Interest yangu ni news, documentaries, music na local channels. Ipi ni receiver bora kwa matumizi haya kwa sasa? Wapi naweza kupata?
 
tangu 2013 natumia str4922 hadi sasa sijaona tatizo lake, zimekuja rcv nyingi za kichina eti ni autorolling lakini mfano siku hizi hakuna chanel tena za mpira. hizo dikoda zinabaki kuwa mapambo. str4922 aka mnyama ni baba lao
Habari wakuu!

Nahitaji kupata FTA channels. Interest yangu ni news, documentaries, music na local channels. Ipi ni receiver bora kwa matumizi haya kwa sasa? Wapi naweza kupata?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu dekoda hiyo local Chanel unapata ngapi? Ni cband au Ku band inabidi?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu fundi, mie nina Qsat 26G maisha yanasonga. Nina dish 2 moja futi 6 (local content) na nyingine futi 8 (international news). Roho kwatuuuuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…