Ipi ni sababu inayofanya Weusi walio nje ya Afrika kuwa mabingwa na Magwiji sana kwenye vipaji vyao tofauti na walioishi Afrika

Ipi ni sababu inayofanya Weusi walio nje ya Afrika kuwa mabingwa na Magwiji sana kwenye vipaji vyao tofauti na walioishi Afrika

Tajiri wa matajiri

Senior Member
Joined
Apr 17, 2024
Posts
166
Reaction score
649
HIVI UNAJUA YA KWAMBA🌚
-Tupac Amaru Shakur, Yote aliyoyafanya ikumbukwe kuwa alifariki akiwa na miaka 25 tuu😃
-Michael Jackson akiwa na miaka 24 aliunda Album ya Thriller ambayo ndo albamu bora zaidi kwenye historia ya Muziki Duniani😃...
-Bob Marley alipata umaarufu duniani kote... akitamba na nyimbo kama 'One Love' aliyoitoa akiwa na miaka 20 tuu mnamo mwaka 1965😃
-Usain Bolt nae alitwaa tuzo yake ya riadha katika mashindano ya Olimpiki akiwa na miaka 21 tuu😃
-Lil Wayne alipata umaarufu duniani kote akiwa na miaka 25, baada ya kutoa albamu yake ya Carter III mwaka 2008
-Serena Williams alipata umaarufu kimataifa kama mcheza tennis akiwa na miaka 17 na kutwaa tuzo za kimataifa😃
-Nguli, Mike Tyson alipata umaarufu kimataifa katika masumbwi akiwa na miaka 20 tuu mwaka 1986...Akishinda tuzo mbalimbali za kimataifa😃
-Muhammad Ali alitwaa tuzo ya kimataifa ya World Heavyweight title akiwa na miaka 22 tuu akijizolea umaarufu duniani kote akiwa na umri mdogo tuu😃
-Pia ikumbukwe kuwa Yamal ni mtoto wa 2007šŸ˜‚
😃Hao wote hakuna hata mmoja aliyepata umaarufu na ukuu aliyeishi Afrika...Sasa sijui ni kweli hili ni bara lenye Laana auuuušŸ˜‚
āœšŸ¾Umaarufu wao wote wameupata nje ya Afrika
Au ndo kweli ya kuwa Afrika ni ardhi iliyolaaniwa kama Dini zisemavyo ukirejelea hadithi ya Nuhu na watoto wakešŸ‘€...Maana mwana wa Nuhu aliyelaaniwa, Shem alikuja kukaa AfrikašŸ˜‚
šŸ¤”Hebu tujadili, Ipi ni sababu inayofanya Weusi walio nje ya Africa kuwa mabingwa na Magwiji sana kwenye vipaji vyao tofauti na walioishi Afrika pekee?
šŸ¤”Je ni kweli tumelaanika kama zisemavyo dini?
šŸ¤”Wapi tunakwama...Naamini wengi sana hata hapa Tanzania wana uwezo mkubwa na vipaji haswa ila ndo kutoboa mapema inakua KikwazošŸ‘€...Kuna vigingi haswa...Kanumba alijaribu ila dah...kizuri hakikudumu!!
Ipi siri ya mafanikio nje ya Afrika?
Si unaona Wamarekani weusi wengi ndo wanatawala Tasnia mbalimbali kama Filamu,Muziki nk

Ni mimi ndugu mwandishi nisiye na jina āœšŸ¾ 😁
 
Laana maana yake nini ?

Unabidi kujua aina ya mfumo wa nchi husika unavyoweza kumsaport MTU kufanikiwa
 
Hakuna laana
Salim Ahmed Salim
Diamond platinum
Samata
Etoo
Drogba
Kikwete n.k Hawa wote wamefanikiwa wakiwa vijana wadogo kabisa
 
HIVI UNAJUA YA KWAMBA🌚
-Tupac Amaru Shakur, Yote aliyoyafanya ikumbukwe kuwa alifariki akiwa na miaka 25 tuu😃
-Michael Jackson akiwa na miaka 24 aliunda Album ya Thriller ambayo ndo albamu bora zaidi kwenye historia ya Muziki Duniani😃...
-Bob Marley alipata umaarufu duniani kote... akitamba na nyimbo kama 'One Love' aliyoitoa akiwa na miaka 20 tuu mnamo mwaka 1965😃
-Usain Bolt nae alitwaa tuzo yake ya riadha katika mashindano ya Olimpiki akiwa na miaka 21 tuu😃
-Lil Wayne alipata umaarufu duniani kote akiwa na miaka 25, baada ya kutoa albamu yake ya Carter III mwaka 2008
-Serena Williams alipata umaarufu kimataifa kama mcheza tennis akiwa na miaka 17 na kutwaa tuzo za kimataifa😃
-Nguli, Mike Tyson alipata umaarufu kimataifa katika masumbwi akiwa na miaka 20 tuu mwaka 1986...Akishinda tuzo mbalimbali za kimataifa😃
-Muhammad Ali alitwaa tuzo ya kimataifa ya World Heavyweight title akiwa na miaka 22 tuu akijizolea umaarufu duniani kote akiwa na umri mdogo tuu😃
-Pia ikumbukwe kuwa Yamal ni mtoto wa 2007šŸ˜‚
😃Hao wote hakuna hata mmoja aliyepata umaarufu na ukuu aliyeishi Afrika...Sasa sijui ni kweli hili ni bara lenye Laana auuuušŸ˜‚
āœšŸ¾Umaarufu wao wote wameupata nje ya Afrika
Au ndo kweli ya kuwa Afrika ni ardhi iliyolaaniwa kama Dini zisemavyo ukirejelea hadithi ya Nuhu na watoto wakešŸ‘€...Maana mwana wa Nuhu aliyelaaniwa, Shem alikuja kukaa AfrikašŸ˜‚
šŸ¤”Hebu tujadili, Ipi ni sababu inayofanya Weusi walio nje ya Africa kuwa mabingwa na Magwiji sana kwenye vipaji vyao tofauti na walioishi Afrika pekee?
šŸ¤”Je ni kweli tumelaanika kama zisemavyo dini?
šŸ¤”Wapi tunakwama...Naamini wengi sana hata hapa Tanzania wana uwezo mkubwa na vipaji haswa ila ndo kutoboa mapema inakua KikwazošŸ‘€...Kuna vigingi haswa...Kanumba alijaribu ila dah...kizuri hakikudumu!!
Ipi siri ya mafanikio nje ya Afrika?
Si unaona Wamarekani weusi wengi ndo wanatawala Tasnia mbalimbali kama Filamu,Muziki nk

Ni mimi ndugu mwandishi nisiye na jina āœšŸ¾ 😁
Mifumo ya Utawala katika nchi za ki-Afrika haitoi nafasi kabisa kwa mtu yoyote yule raia wa kawaida kuweza kuonyesha kipaji chake, karama yake au ujuzi wake alionao to the fullest.

Ukiwa upo katika nchi za Afrika Kama vile Tanzania, ukifanya ugunduzi mpya wa kitu Kama vile kutengeneza bunduki ya kisasa, utakamatwa na kwenda kufungwa jela badala ya kuajiriwa na/au kupelekwa Jeshini ili uende ukazalishe au kutengeneza bunduki nyingi zaidi kwa matumizi ya Jeshi katika shughuli zake za kiulinzi.
 
Back
Top Bottom