Ipi ni sababu sahihi ya kufanya mapenzi (tendo la ndoa)?
1. Kufanya mapenzi ili kuonyesha upendo kwa mpendwa wako
2. Kufanya mapenzi ili uzae (kupata watoto)
3. Kufanya mapenzi ili kutimiza wajibu
4. Kufanya mapenzi ili kutimiza matamanio ya kimwili
5. Kufanya mapenzi ili kumlinda mpendwa wako
6. Kufanya mapenzi ili kujipatia kipato
7. Kufanya mapenzi kwa starehe tu
8. Kufanya mapenzi ili kutimiza matakwa ya mpendwa wako
9. Kufanya mapenzi kama zawadi kwa umpendae
10. Kufanya mapenzi kwa sababu za kiafya
Je, wewe uko wapi?
Heshima kwenu
Mi ni sababu za kiafya....kujiweka fit
Mabel mbona kama nakufahamu>
Uliza hivi: Ipi ni sababu ya kula chakula? nadhani utapata majibu
Hizo zote zenye RED zinalenga pahala pamoja tu...UPENDO NDANI YA NDOA!...Na ndiyo shabaha kuu!(Na hii inaapply only and only if tunaongelea NDOA!)Ipi ni sababu sahihi ya kufanya mapenzi (tendo la ndoa)?
1. Kufanya mapenzi ili kuonyesha upendo kwa mpendwa wako
2. Kufanya mapenzi ili uzae (kupata watoto)
3. Kufanya mapenzi ili kutimiza wajibu
4. Kufanya mapenzi ili kutimiza matamanio ya kimwili
5. Kufanya mapenzi ili kumlinda mpendwa wako
6. Kufanya mapenzi ili kujipatia kipato
7. Kufanya mapenzi kwa starehe tu
8. Kufanya mapenzi ili kutimiza matakwa ya mpendwa wako
9. Kufanya mapenzi kama zawadi kwa umpendae
10. Kufanya mapenzi kwa sababu za kiafya
Je, wewe uko wapi?
Heshima kwenu
Yawezekana unanifahamu, hebu nipe dondoo.
"The main thing is to keep the main thing the main thing"
.......kumbuka....
Ipi ni sababu sahihi ya kufanya mapenzi (tendo la ndoa)?
1. Kufanya mapenzi ili kuonyesha upendo kwa mpendwa wako
2. Kufanya mapenzi ili uzae (kupata watoto)
3. Kufanya mapenzi ili kutimiza wajibu
4. Kufanya mapenzi ili kutimiza matamanio ya kimwili
5. Kufanya mapenzi ili kumlinda mpendwa wako
6. Kufanya mapenzi ili kujipatia kipato
7. Kufanya mapenzi kwa starehe tu
8. Kufanya mapenzi ili kutimiza matakwa ya mpendwa wako
9. Kufanya mapenzi kama zawadi kwa umpendae
10. Kufanya mapenzi kwa sababu za kiafya
Je, wewe uko wapi?
Heshima kwenu
Hizo zote zenye RED zinalenga pahala pamoja tu...UPENDO NDANI YA NDOA!...Na ndiyo shabaha kuu!(Na hii inaapply only and only if tunaongelea NDOA!)
Ipi ni sababu sahihi ya kufanya mapenzi (tendo la ndoa)?
1. Kufanya mapenzi ili kuonyesha upendo kwa mpendwa wako
2. Kufanya mapenzi ili uzae (kupata watoto)
3. Kufanya mapenzi ili kutimiza wajibu
4. Kufanya mapenzi ili kutimiza matamanio ya kimwili
5. Kufanya mapenzi ili kumlinda mpendwa wako
6. Kufanya mapenzi ili kujipatia kipato
7. Kufanya mapenzi kwa starehe tu
8. Kufanya mapenzi ili kutimiza matakwa ya mpendwa wako
9. Kufanya mapenzi kama zawadi kwa umpendae
10. Kufanya mapenzi kwa sababu za kiafya
Je, wewe uko wapi?
Heshima kwenu
wanaofanya mapenzi wote wako kwenye ndoa?
Ipi ni sababu sahihi ya kufanya mapenzi (tendo la ndoa)?
1. Kufanya mapenzi ili kuonyesha upendo kwa mpendwa wako
2. Kufanya mapenzi ili uzae (kupata watoto)
3. Kufanya mapenzi ili kutimiza wajibu
4. Kufanya mapenzi ili kutimiza matamanio ya kimwili
5. Kufanya mapenzi ili kumlinda mpendwa wako
6. Kufanya mapenzi ili kujipatia kipato
7. Kufanya mapenzi kwa starehe tu
8. Kufanya mapenzi ili kutimiza matakwa ya mpendwa wako
9. Kufanya mapenzi kama zawadi kwa umpendae
10. Kufanya mapenzi kwa sababu za kiafya
Je, wewe uko wapi?
Heshima kwenu
hapana mkuu, mie nafanya mapenzi kama starehe tu sipo kwenye ndoa