Ipi ni sahihi??

Ahirisha ndio sahihi ....

mfano katika kamusi wameandika hivi

postpone = kuahirisha
 
Ahirisha ndio sahihi ....mfano katika kamusi wameandika hivi postpone = kuahirisha
Asante mkuu, kumbe watangazaji wetu ndio huwa wanakosea!
 
hahirisha hutokana na athari za kilahaja, sahihi ni kama alivyochangia mwenzetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…