Leaders bongo n kupe
Member
- Feb 2, 2014
- 31
- 2
Hivi ipi ni sentensi sahihi kati ya:
'Naomba unipigie nyimbo ya Madee na Naomba nipigie wimbo wa Madee? Wafunzi wananikera sana. Msaada wenu tafadhali.
Mkuu mimi kama mswahili naona kiswahili fasaha hapo itakuwa 'Naomba unipigie nyimbo ya Madee' neno Unipigie inamaanisha unamuomba mtu
lakini 'Naomba nipigie wimbo wa Madee' sio sahihi kama unaomba,kwani neno nipigie ni neno la kuamrisha sio la kuomba
Wale wale Mulugo generation wimbo ni umoja na nyimbo ni wingi dah ulivyoandika insha sasa kama una point vile teh teh
Weka picha!