Msomi ni mtu aliyejifunza kitu katika fani fulani lakini hana uelewa wa fani zingine.
Elimu ni mchanganyiko wa fani nyingi mtu mwenye elimu anaweza kuwa aliishia darasa la saba
Lakini ana uwezo wa kutengeneza gari la mtu mwenye degree nne so elimu ni pana kuliko usomi.
Ndio maana unakuta doctor hana ujuzi wa kuendesha gari ila kijana mwenye elimu ya darasa la saba anaendesha gari kwa ustadi mkubwa.
Elimu inaunganisha vipaji vingi na mtu anayejua mambo mengi ila msomi ni matokeo ya kufundishwa kitu kimoja.
Kiufupi elimu ni kujifunza ila usomi ni kufundishwa.
Wajuzi watanirekebisha zaidi.