Ipi ni thamani halisi ya mbususu?

Ipi ni thamani halisi ya mbususu?

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Habari za muda huu JF

Leo mwenzenu nimekuja na swali, je ipi ni thamani halisi ya mbususu?

Ipo hivi Dereva bodaboda ataila Mbususu ya mariamu kwa kuwa Mariam anataka offer ya hizo buku buku za Bodaboda akiwa anaenda kwenye kazi yake pale halimashauri.

Akifika ndani kazini kwake atataka amuhonge mkurugenzi hio hio mbususu ili apandishwe cheo hapo nashindwa kuelewa hio mbususu ni ya thamani hio alioipata Musa wa bodaboda ama DED Abdulkarim?

Acha tuone tena lecture wa LG 111 pale udom anahongwa mbususu ili Irene asipate sup ya LG baadae Irene huyo huyo anaenda kutumia mbususu hio hio kwa suma jkt mlinzi wa block 10 ili Irene awe anavusha msosi ndani ya hostel.

Michael anapata mbususu ya Jack kwa kubandika kucha ambapo haifiki hata elfu 10 Ila Jack huyo huyo anataka atumie mbususu hiyo hiyo kununuliwa Ist na Hafidh yule mtoto wa mmliki wa petral station.

Swali jee thamani halisi ya mbususu kwa mwanamke ni Ile ya juu Ila kuna watu wanapata huruma tuu ama ni ya chini Ila Kuna watu wanapigwa na kitu kizito kichwani?
 
Looo uchumi wa kati nchi hii itaingia kweli?,kila mwaka pale Mzumbe kuna zaidi ya 2000 graduates 🎓 wa sector ya kilimo, ila nchi hii bado tunaagiza Suvari,mahindi etc etc kutoka nje ya nchi,na kilimo kinatengewa chini ya 10%ya bajeti nzima, sasa ninaelewa why, akili yetu ipo kwenye mbususu tu
 
Looo uchumi wa kati nchi hii itaingia kweli?,kila mwaka pale Mzumbe kuna zaidi ya 2000 graduates 🎓 wa sector ya kilimo, ila nchi hii bado tunaagiza Suvari,mahindi etc etc kutoka nje ya nchi,na kilimo kinatengewa chini ya 10%ya bajeti nzima, sasa ninaelewa why, akili yetu ipo kwenye mbususu tu
Mbususu ni nyingi na uhakika zaidi ya hiko kilimo.

Hiv kwani bajeti ya mbususu ni %?
 
Kwani mbususu ni nini nyie vibambala?
 
hizi nyuzi!! hivi shule zimefungwa?
 
Kama vipi wizara itangaze bei elekezi ila nyie achen utani watu wanawaza sana hayo mambo wakat huu
Naongezeko hili la mshahara tupewe kabisa Bei elekezi ili kufikia July tuwe tunajua bajeti za familia
 
hizi nyuzi!! hivi shule zimefungwa?
[emoji23][emoji23][emoji23]
Dah! Hii sentensi huwa inafikirisha na kufurahisha sana!

ila inapomkuta mtoa mada huwa inasikitisha na kutia hasira sana!!
 
Hiyo ndio kazi ya Mbususu, wacha ichakazwe ipasavyo.. Umewahi kula mbususu iliyobanikwa!? Ni noma sana
 
Ngoja Kwanza nisikilize haya matangazo mawili ya chai.Kuna lile la Chai Jaba na lile la Chai ya TATEPA.Ntarudi na jibu kwa kuzingtia mlinganyo sahili wa kutafuta thamani ya "X"!
 
We jamaa bila shaka utakuwa mhitimu UDOM Au utakuwa mwaafunzi UDOM.maana hzo course Code za LG hujakosea na hzo blocks nmba ,tena block 10 ya girls 🤣
Habari za muda huu JF

Leo mwenzenu nimekuja na swali ,je ipi ni thamani halisi ya mbususu?

Ipo hivi Dereva bodaboda ataila Mbususu ya mariamu kwa kuwa Mariam anataka offer ya hizo buku buku za Bodaboda akiwa anaenda kwenye kazi yake pale halimashauri.

Akifika ndani kazini kwake atataka amuhonge mkurugenzi hio hio mbususu ili apandishwe cheo hapo nashindwa kuelewa hio mbususu ni ya thamani hio alioipata Musa wa bodaboda ama DED Abdulkarim?

Acha tuone tena lecture wa LG 111 pale udom anahongwa mbususu ili Irene asipate sup ya LG baadae Irene huyo huyo anaenda kutumia mbususu hio hio kwa suma jkt mlinzi wa block 10 ili Irene awe anavusha msosi ndani ya hostel.

Michael anapata mbususu ya Jack kwa kubandika kucha ambapo haifiki hata elfu 10 Ila Jack huyo huyo anataka atumie mbususu hiyo hiyo kununuliwa Ist na Hafidh yule mtoto wa mmliki wa petral station.

Swali jee thamani halisi ya mbususu kwa mwanamke ni Ile ya juu Ila kuna watu wanapata huruma tuu ama ni ya chini Ila Kuna watu wanapigwa na kitu kizito kichwani?
 
We jamaa bila shaka utakuwa mhitimu UDOM Au utakuwa mwaafunzi UDOM.maana hzo course Code za LG hujakosea na hzo blocks nmba ,tena block 10 ya girls 🤣
Kitambo Sana hapo block 10 nilikuwa napita kutembeza bakora 2020 ilikuwa mwisho
 
Back
Top Bottom