Ipi ni thread bomba MMU kwa mwaka 2011?

Kigarama

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2007
Posts
2,492
Reaction score
1,230
Tunapoelekea mwishoni mwa mwaka huu wa 2011 ni lazima tufanye tafakari ya yaliyojiri kwenye mwaka huu. Kwangu mimi kama kuna thread bomba ndani ya MMU basi ni hii iliyoanzishwa na Finest, "What made you Stay." Wewe ya kwako uliyoona ni bomba kwa mwaka 2011 ni ipi?

 
bomba ni ile niliyoipenda,.........
 
Mh!Ngoja nifukunyue halafu nije nikiwa na kitu mkononi!
 
Kwangu Mimi thread ninazo zikumbuka sasa hivi ni hizi hapa (Sio MMU peke yake, sorry):

This meant a great deal to me... I waas very touched by such solicitude from JF members na mlinisaidia sana, hamjui tu.


Hii nimeipenda sababu watu walichangia na kubishana kwa heshima na adabu. Pia ilinisaidia kubadili mtazamo wangu kuhusu ndoa. Sio ndoa yangu lakini. Baada ya thread hii, na jibu lake, ilibidi nikubali kua kuna watu wengi wanacheat sababu wanapenda na pia wengine wanacheat sababu wake zao hawaoni ubaaya. So next time I speak for 'women' nitakua nakumbuka kua wanawake tuko tofauti na kitu mimi naona 'unacceptable and cause of divorce' wengine wanaona sio mbaya kiivo for as long as she is sure to be loved.


This one haina maelezo, bado ipo fresh in our memories, I had so much fun. lol



Hii niliipenda sababu sio kila siku mkuu anakuja kujadili na sisi live jamvini. Ila kuna mtu alinifurahisha sana, eti katika mada serious kama hiyo akamuuliza mkuu kama mkuu kaoa. JF kiboko haki. lol


Hii nimeipenda sababu watu walifunguka (for personal reasons sikushiriki). Big up Lizzy, it is rare that you start a thread that doesn't touch me.



I loved this thread. The ideas of members, the respect of different opinions, the variety of approaches... and I made some friends in the process... Nilijitoa mapema kidogo katika discussion lakini it doesn't mean I waas not following.

That is it kwa sasa, nikikumbuka zingine I will be back. Of course kuna zingine ila either sizikumbuki or sitaki kuzitaja hapa. 🙂
 
1. Jf udaku by Tanmo ilinichekesha sana, nikagundua hata watu wawe siriaz kiasi gani bandama zao bado zinafanya kazi na kila mtu anauchizi wa muda.

2. Tofauti ya wanamme na wavulana by the boss, imenipa ufahamu wa jambo lilikuwa linanichanganya sana kwa muda mrefu

3. Thread ya kufungia mwaka MMU by Bishanga
hapa nilifurahi kuongelea mambo mbalimbali bila kukunja sura kwenye keyboard yangu wala sikutumia akili zaidi ya silika

Na urudi kweli.
 

ahsante mamie kuna thread kama NANI ya lizzy nilikua sijapata kuiona ndo nimetoka kuichek nw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…