zhang laoshi
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 434
- 581
Kwakuwa ni gari yako ya kwanza chukua ist mkuu.Polen Na mihangaiko ya maisha, katika kujipanga kimaisha kuwa Na gari or kuwa Na ndoto ya kumiliki gari Ni muhimu coz inaturahishia mishe zetu mjini ...., nime make tuela kangu, sasa cjui ipi nichukue kati ya gari aina ya ist Na Volkswagen Golf 4 gti, pls msaada kwa anayezijua zaid kifaida Na kiahasara, ili nimake decision soon.. Ili nami nijue bei ya mafuta sheli....
VW Vs IST= sumsang Vs iPhone. Irrelevant comparisonPolen Na mihangaiko ya maisha, katika kujipanga kimaisha kuwa Na gari or kuwa Na ndoto ya kumiliki gari Ni muhimu coz inaturahishia mishe zetu mjini ...., nime make tuela kangu, sasa cjui ipi nichukue kati ya gari aina ya ist Na Volkswagen Golf 4 gti, pls msaada kwa anayezijua zaid kifaida Na kiahasara, ili nimake decision soon.. Ili nami nijue bei ya mafuta sheli....
VW Vs IST= sumsang Vs iPhone. Irrelevant comparison
afrika hata tukitaka kununua tv tu tutataka dunia nzima ijue,aibu sana...
Sio wote wajuzi wa hayo magari, sio mbaya akijuzwa na wayajuayo..afrika hata tukitaka kununua tv tu tutataka dunia nzima ijue,aibu sana...
To me, nikiangalia spares availability, IST MKUU...Polen Na mihangaiko ya maisha, katika kujipanga kimaisha kuwa Na gari or kuwa Na ndoto ya kumiliki gari Ni muhimu coz inaturahishia mishe zetu mjini ...., nime make tuela kangu, sasa cjui ipi nichukue kati ya gari aina ya ist Na Volkswagen Golf 4 gti, pls msaada kwa anayezijua zaid kifaida Na kiahasara, ili nimake decision soon.. Ili nami nijue bei ya mafuta sheli....
Kwa ushauri wangu usichukue VW Golf, Chukua VW Polo 2007 Model au juu; Utaifurahia na kufurahia maisha ya kuingia Petrol Station.Polen Na mihangaiko ya maisha, katika kujipanga kimaisha kuwa Na gari or kuwa Na ndoto ya kumiliki gari Ni muhimu coz inaturahishia mishe zetu mjini ...., nime make tuela kangu, sasa cjui ipi nichukue kati ya gari aina ya ist Na Volkswagen Golf 4 gti, pls msaada kwa anayezijua zaid kifaida Na kiahasara, ili nimake decision soon.. Ili nami nijue bei ya mafuta sheli....
Kwa ushauri wangu usichukue VW Golf, Chukua VW Polo 2007 Model au juu; Utaifurahia na kufurahia maisha ya kuingia Petrol Station.
Angalizo, spares za VW bei ni juu kidogo so unaweza tishika, ila spares zake ni original so zinakaa muda mrefu. Kila la heri kwenye uchaguzi.
Are you serious? VW is one of the best mkuu, IMO. Angechukua polo badala ya golf, kwa vile ndio gari ya kwanza.ist is the best...VW ni kati ya not to buy car...
Toa neno GTi fananisha VW Golf ya kawaida tu 1.6i hivi kwasababu GTi ni perfomance car na IST ni gari ya kawaida tu. Katika gari rahisi kuhudumia kutoka Ulaya ni VW Golf hapa Tz nyingi ni mk4. Kama unaona kuhudumia vw golf mk4 ni ghali usijaribu gari ingine yoyote ya Ulaya.Polen Na mihangaiko ya maisha, katika kujipanga kimaisha kuwa Na gari or kuwa Na ndoto ya kumiliki gari Ni muhimu coz inaturahishia mishe zetu mjini ...., nime make tuela kangu, sasa cjui ipi nichukue kati ya gari aina ya ist Na Volkswagen Golf 4 gti, pls msaada kwa anayezijua zaid kifaida Na kiahasara, ili nimake decision soon.. Ili nami nijue bei ya mafuta sheli....
Yan kwa hii hating ni uhakika bado wapambana na madala dala mzee na hua uwezo wa Gari.. PAMBANA NA HALI YAKO BRO..afrika hata tukitaka kununua tv tu tutataka dunia nzima ijue,aibu sana...
Ni kweli kabisa, ila nadhani ni lazima pia hiyo availability ya spare ya IST ufahamu na UBORA wake, nenda pale KISANGANI ulizia fuel pump original ya IST; nikimaanisha kama hiyo iliyokuja na Gari toka ulipoiagizia; bei zinafanana kabisa.Mkuu VW golf kama unaanza kumiliki gari itakutesa, pia kama huna knowledge na ufundi kwa mafundi wetu hawa watakutia hasara labda kama utakuwa unaipeleka kwenye modern garage lakini kwa hawa mafundi wetu wa uswazi itakucost, gharama ya spea ni kubwa na availability ya spea ni complicated kwa hapa bongo, Ila kama unapenda maspeed kama mimi Golf ni nzuri na inakimbia lakini kwa barabara zetu pia itakulimit, ziko sensitive kwa mafuta pia, BP,TOTAL ndio uweke mafuta lakini hizi petrol station za kibongo aisee utaua fuel pump kila siku na fuel pump ni zaidi ya 300000/ wakati za kijapani ni 80000/
Ist ni nzuru kwa mazingira yetu, spea parts zinapatikana na ni rahisi pia, pia ni rafiki kwa mafundi wetu...
Hii simu ukiyoshindanisha na Iphone ni toleo jipya sijawahi kuiona sumsang?..kweli haviendani.!VW Vs IST= sumsang Vs iPhone. Irrelevant comparison