Wadau habari zenu,
Naombeni wenye uzoefu ntujuze kati ya kufanyiwa operation na kujifungua kawaida kwa mtu ambaye hana matatizo yanayompelekea kufanyiwa operation.
hii ni kwa sababu limetokea wimbi la wanawake ambao wako tayari kumuonga dr aandike sababu za uwongo ili afanyiwe operation kuliko kysubiria kuumwa uchungu na hawataki kusikua hiyo kitu uchungu.
Mfano ni rafiki yangu alijifungua kwa operation mi nkajua kulikuwa na complication mara akawa anasema mie nilimwomba dr aandike sababu za uwongo kwani hayo mambo ya uchungu na kupush sitaki kuyasikia.
Hicho ni kisa ambacho nina ushahidi nacho sasa ebu wazoefu waje kutujuza maana wapo waliozaa kawaida na kwa operation.
Naombeni wenye uzoefu ntujuze kati ya kufanyiwa operation na kujifungua kawaida kwa mtu ambaye hana matatizo yanayompelekea kufanyiwa operation.
hii ni kwa sababu limetokea wimbi la wanawake ambao wako tayari kumuonga dr aandike sababu za uwongo ili afanyiwe operation kuliko kysubiria kuumwa uchungu na hawataki kusikua hiyo kitu uchungu.
Mfano ni rafiki yangu alijifungua kwa operation mi nkajua kulikuwa na complication mara akawa anasema mie nilimwomba dr aandike sababu za uwongo kwani hayo mambo ya uchungu na kupush sitaki kuyasikia.
Hicho ni kisa ambacho nina ushahidi nacho sasa ebu wazoefu waje kutujuza maana wapo waliozaa kawaida na kwa operation.