Wa Katutura
JF-Expert Member
- May 5, 2019
- 366
- 450
Ok sawasawa,ila nime maanisha new model ila hiz old model shep yake inakinaisha sio km Rav 4,je kwa jina la kruger ipo new model yake kwa jina hiloHighlander na kluger ni gari moja boss sema highlander ni kwaajili ya soko la ulaya na America na wala sio new model. Ni kama harrier old model na Lexus rx300 old. Asante
Yes ipo mkuu.... ingia hata be forward utaziona...Ok sawasawa,ila nime maanisha new model ila hiz old model shep yake inakinaisha sio km Rav 4,je kwa jina la kruger ipo new model yake kwa jina hilo
Sijilaumu kununua kluger, ni nzuri kuliko hata harrierHabari wakuu,
Naomba kuuliza kati ya Toyota Kluger na Subaru Forester ipi ni nzuri zaidi kwa kuzingatia uwezo wa engen, uimara wa gari na vitu vingine vya muhimu.
View attachment 1823003
Hii klugerOk sawasawa,ila nime maanisha new model ila hiz old model shep yake inakinaisha sio km Rav 4,je kwa jina la kruger ipo new model yake kwa jina hilo
Upo sawasawa kbs Kiongozi,zina shape nzuri sana 🤙Hii klugerView attachment 1894551
utakuja kulia ndugu yangu!
Hapo kwenye mafuta mzee subaru zina 1990cc na Kluger ni 2360cc. Sasa consumption ya subaru inazid vipi?
Kwenye kuuza hyo ya 4wd na 2wd sijaelewa unamaana gani effect iko wapi kwenye 2wd na 4wd provided engine cc ziko pale.
Nakuelewa kidogo kwenye spare parts.
Nimepitia huu uzi naona mkuu utakua unaongelea bucket seatsKile kiti cha dereva cha Subaru ni msalaba!🚶🚶🚶
Kluger anzia 2nd generation ziko vizuri sana tu. Ukiipata 3rd ndio dah huwezi tamani hio subaru kabisaKluger imekaa kizee
Ishu sio hizo Recaro seats! Subaru forester it feels low ukikalia kiti cha dereva compared na gari zingine of the same class. Panda Grand Escudo utajiona kweli umekalia gari ya juu, panda vanguard the same feel ila subaru ni kama bado tu umekaa katika gari ya chini tuNimepitia huu uzi naona mkuu utakua unaongelea bucket seats
Hizi seat zinatumika kwenye race cars kuzuia body movement and mostly are aftermarket...
Naona hio subaru ilitoka japan na hizo seats maana sijui ni ipi unaongelea ila mpaka SH5 forester hamna yenye bucket seats stock installed
Jamaa kazungumzia 2nd Generation ile iko vizuri sana.Highlander na kluger ni gari moja boss sema highlander ni kwaajili ya soko la ulaya na America na wala sio new model. Ni kama harrier old model na Lexus rx300 old. Asante
CC:ExtrovertNimepitia huu uzi naona mkuu utakua unaongelea bucket seats
Hizi seat zinatumika kwenye race cars kuzuia body movement and mostly are aftermarket...
Naona hio subaru ilitoka japan na hizo seats maana sijui ni ipi unaongelea ila mpaka SH5 forester hamna yenye bucket seats stock installed
Nshamjibu
Kuna jamaa yangu ana mitsubishi GDI amenoki injini anatafuta injini ya kununua yupo mwanza jamani alipata injini Lakini haziendani na gari husika na kweli analiautakuja kulia ndugu yangu!
Atalia kwa nn?utakuja kulia ndugu yangu!