Ipi rahisi, kununua bond kwenye mnada wa Upili vs wa Msingi?

Ipi rahisi, kununua bond kwenye mnada wa Upili vs wa Msingi?

Kimla

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2008
Posts
3,810
Reaction score
6,599
Wadau ninekuwa natamani kununua bond za mda mrefu. Nina millioni 75, je ni njia ipi rahisi kununua hizo bond zinazolipa interest ya 15.49 hadi 15.90pct kwa mwaka?

Njia ya Moja kwa moja BOT naona ni ngumu kwa sisi amabao hatukai Dar na JIA ya upili siijui vizuri. Naomba mzoefu anishauli nini nawezafanya ili kupata bond za muda mrefu za serikali kwa kutumia njia hizo mbili?
 
Back
Top Bottom