nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 1,033
- 895
Jamuhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Ndo inazaa jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Wengi wanakoseaInamaana karani aliyoandika barua ndio amekosea au barua "ghushi?"
Nakubalian kabisa na Britacca yapaswa kusomeka Jamhuri ya Muungano ya Tanzania (United Republic of Tanzania)Jamuhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Ndo inazaa jamhuri ya Muungano ya Tanzania
KabisaNakubalian kabisa na Britacca yapaswa kusomeka Jamhuri ya Muungano ya Tanzania (United Republic of Tanzania)