Ipi sahihi, JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA au JAMHURI YA MUUNGANO TANZANIA?

nyumbamungu

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2017
Posts
1,033
Reaction score
895
Kuna barua inayosambaa kwenye mitandao yenye kichwa cha habari "GHARAMA ZA LESENI KWA WASAFIRISHAJI WA VIFURUSHI, VIPETO NA NYARAKA "
Kama nilivyonukuu imetolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania

Sina tatizo na hizo gharama, bali ni JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA au JAMHURI YA MUUNGANO TANZANIA?
 
Jamuhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Ndo inazaa jamhuri ya Muungano ya Tanzania
 
Jamuhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Ndo inazaa jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Nakubalian kabisa na Britacca yapaswa kusomeka Jamhuri ya Muungano ya Tanzania (United Republic of Tanzania)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…