Ipi sahihi?

Ipi sahihi?

Ngaramtoni

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2012
Posts
430
Reaction score
61
wanajukwaa,
kati ya hizi sentensi mbili,ipi ndo sahihi, tunatakiwa kusema naibu mwenyekiti au makamu mwenyekiti au sentensi zote ni sahihi?
 
haya maneno yana miktadha yake (context) .hivyo kwa hilo ni kuwa makamu mwenyekiti
 
Back
Top Bottom