Njugu mawe
Member
- Sep 8, 2023
- 33
- 33
1. Samsung.Hivi ipi simu bomba kati ya hizi, nahitaji yenye speed ya internet, camera nzuri na uhifadhi wa moto mzuri, kwa kiwango changu nahitaji za viwango hizi
1. Samsung S 10
2. Redme note 12 c
4. Aquas R6 5g
5. Google 4
Wajuzi wa technologia hii?
Mkuu Mabingwa Wa Kihistoria Tunaingiaje Hapo Sasa?Tecno cammon 20pro ni HABARI ingine.
Weka mbali na WATOTO na Yanga.
S10 ukipata 5G plus UtanishukuruHivi ipi simu bomba kati ya hizi, nahitaji yenye speed ya internet, camera nzuri na uhifadhi wa moto mzuri, kwa kiwango changu nahitaji za viwango hizi
1. Samsung S 10
2. Redme note 12 c
4. Aquas R6 5g
5. Google 4
Wajuzi wa technologia hii?
Huwa naziogopa tecno kuganda, hii imekaaje kwenye hiyo 20 pro?Tecno cammon 20pro ni HABARI ingine.
Weka mbali na WATOTO na Yanga.
Infinix aina gani mkuu?Chukua infinix kula maisha wewe, hauta jutia.
Nashukuru mkuuS10 ukipata 5G plus Utanishukuru
In
Infinix aina gani mkuu?