wakulu, hebu nisaidieni jamani, kuna pozi zingine nikimpa my wife anazikataa-mara anaumia, au haiskilizii poa. zingine anapenda kila siku wakati mm hata sizikubali! humu ndani tupo jinsia zote, najua kila mtu anaweza kuwa na mapenzi yake lakn tutajuwa wengi wanafurahia ipi.
msiogope jamani hakuna anayekujua humu!! teh teh
wakulu, hebu nisaidieni jamani, kuna pozi zingine nikimpa my wife anazikataa-mara anaumia, au haiskilizii poa. zingine anapenda kila siku wakati mm hata sizikubali! humu ndani tupo jinsia zote, najua kila mtu anaweza kuwa na mapenzi yake lakn tutajuwa wengi wanafurahia ipi.
msiogope jamani hakuna anayekujua humu!! teh teh
Kuna thread ya mama mia inaasa watu kutokuzungumzia yale ya ndani mwao.... Sasa hapa mnataka nini? Wengine humu wanajuana vizuri tu! Au wenzi wao wanajua id zao..sasa hii si noma?
mkuu zingine MPYA, naweza kuzipata humu hasa toka kwa shes, kumpa masapraizi si unajua!!?AMOEBA.
Kaa na mwandani wako mdiscuss hili swala sisi ukituuliza na kama unataka ugomvi ss tutajuaje ipi mkeo anapenda? ina maana sisi tunamjua mkeo(samahani lakini)
mkuu zingine MPYA, naweza kuzipata humu hasa toka kwa shes, kumpa masapraizi si unajua!!?
Kuwa mtundu na mbunifu, kwa nini wewe usiwe wa kwanza kubuni?na sio lazima anayotumia Fidel80/xspin ikupendeze.
Kuwa mtundu na mbunifu, kwa nini wewe usiwe wa kwanza kubuni?na sio lazima anayotumia Fidel80/xspin ikupendeze.
Kuwa mtundu na mbunifu, kwa nini wewe usiwe wa kwanza kubuni?na sio lazima anayotumia Fidel80/xspin ikupendeze.
mimi mastaili mpaka nipige taska kazaa na kiroba cha valuu!-hapo ni MICHARUKO KWENDA MBELE!mzima mzima hivi?!...NO WAY!nisipolewa hata mwanamke simtamani
yaani nikiwa mkavu mkavu hivi HAKUNA STAILI NINAYOIJUA!mimi naijua taska.kokoto kwa wingi,kitimoto ya kuchoma KWISHNEI!habari nyingine hizo labda ma-lavaboi wanajua,sisi ma-ulabu boiz hapana banaHahahaha dah Valuu mazee respect lakini usizidishe ukizidisha tu utaishia kuchezea mausi.