TUTAKE RADHI kabla hatujakutenga kwenye jumuiya! Tangu nimeanza kuutundika mtungi sijawahi kuona performance imeshuka. Ni Viwango juu ya Viwango!
mkuu naongelea TASKA mpwa!!.
kuna vitu vingine navikubali aseee kama KESTO, SAFARI ni balaa, ukiimix na valuu then mix na konyagi, hapo ni libeneke mpaka majogoo.
narudia tena ni kwa TASKA!!
Natamani ningekuwa ukuta na wakati mwingine kitanda.
Ama kuta za vyumba vinashuhudia mengi!
halafu mkuu,
KEIWAI huwa unazinunua wapi?
AMOEBA.
Kaa na mwandani wako mdiscuss hili swala sisi ukituuliza na kama unataka ugomvi ss tutajuaje ipi mkeo anapenda? ina maana sisi tunamjua mkeo(samahani lakini)
What I have notice ni,
huyo she si mtu unaye mfill kivile,
either mgombea mwenza ila si msataafu.....
If u real fill somebody and love the most, it could nob be easy or suits you kumuanika that much, so huyu ni wa kupita.
Angekua wa ukweli, these days mambo hadharani, na mnaweza ambiana hata kiutani utani tu.
So obvious, tayari ulikuwa na majibu upon ur demands bros....
Haijakaa njema lakini,
Tusipende tenda yale ambayo once tendewaringi hutukwaza.
Nguli bana!! Mtu kaomba usauri wewe una-complicate, mambo ya kujajiana hayapo hapa.Thanks
Good explntn.
Nguli bana!! Mtu kaomba usauri wewe una-complicate, mambo ya kujajiana hayapo hapa.
Kama umeona comment zangu mbaya elezea wewe jinsi manavyofanyaga na mumeo/mkeo elezea kila 1 kwa ustadi mzuri sitokujaji kama unavyodai nitakupongeza.
Kuna thread ya mama mia inaasa watu kutokuzungumzia yale ya ndani mwao.... Sasa hapa mnataka nini? Wengine humu wanajuana vizuri tu! Au wenzi wao wanajua id zao..sasa hii si noma?
.. I like her to be on top of me!!!! Men it goes as far as..............I mean payback time.
tell zem...tell, zem VC.
Wanavunja sheria za mambo yetu hawa...Ndo shida ya Senior Bachelors hii.
kuna mmoja alipoona naagiza valuu kabla ya kuingia mjengoni ALIKATAA NISIINYWE HADI TUMALIZE KU-DUU!alikuwa anajua mziki wake...BONGO RECORDS HIYO MAZEE1acheni valuu iitwe valuu
au kama vipi atupe ramani tukale chabo kisha tuje kumwaga nyepesi nyepesi
Style ipi ya tigo au voda?