Ok,lakini hiyo aliyoonyesha hapo ni cream,nayo ni vipi...?Ketoconazole ina side effect mbaya sana..Orally taken.
✓Kwa wanaume inasababisha testosterone kupungua..kwa hiyo inashusha sana nguvu za kiume na kusababisha uhanithi(impotence)..(Anti-androgenic)
✓Kwa wanawake pia inaleta shida kwenye ovaries..kwahiyo uzazi utakuwa wa shida.
✓Inasababisha upara.
✓Inasababisha adrenal gland kushindwa kuzalisha hormone zake kama ilivyozoeleka.
Hii dawa itatumika tu pale faida zitakapozi over-weigh hasara..
Though,shampoo na cream yake ni nzuri na haina shida sana kama ya kumeza.
Nilijibu haraka haraka..Ok,lakini hiyo aliyoonyesha hapo ni cream,nayo ni vipi...?
Haina shida hiyo.Ok,lakini hiyo aliyoonyesha hapo ni cream,nayo ni vipi...?
Aina gani ya matibabu ulipewa na kwa mda gani.Pole sana..nlikua nao nikahangaika miaka 10 ila nimekuja kuponea Kawe kwenye Dispensary moja ya masister ipo kawe mwisho wa kituo pembeni ya Jengo la NIDA.
Naomba maelekezo kuhusu hizo dawa za kuharisha.Kwanza jitahidi kunywa dawa za minyoo kwa wakati, pili jitahidi unywe dawa ya kuharisha walau mara 2 kwa mwaka ili kuondoa sumu mwilini na kusafisha damu, fanya mazoezi, pia kuna sabuni za ubuyu anauza Shifaa yupo kariakoo nyuma ya kfc zinauzwa 1,000 tu ila ni nzuri mno utapendeza mpaka ujishangae mwenyewe