Ipi tofauti kati ya Toyota Primio version ya 2004 na 2005?

Ipi tofauti kati ya Toyota Primio version ya 2004 na 2005?

DIKASHWA

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2016
Posts
378
Reaction score
964
Naomba kufahamishwa kwa waliowahi kutumia Toyota Preimio,zipo za version mbalimbali lakini me niko interested na Primio modal ya 2004 na 2005 CC1490 , binafsi nimejaribu kuchunguza sijajona tofauti ya kimaumbile but nilipoingia kikokotozi cha TRA zinadiffer kwa zaidi ya laki saba,kwenye kodi,but kwenye bei ya Japan hazitofautiani sana bei.
Kabla sijaenda kujilipua naomba muongozo kwa gari tajwa hapo juu
BF861939_cc7133.jpg
 
Umesema bila kumung'unya.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]


_Jf Mtawangu
Hahah anisamehe tu mkuu,lkn hio gari daah Mungu anamuona basi tu,hahah
 
Hahah anisamehe tu mkuu,lkn hio gari daah Mungu anamuona basi tu,hahah
ila msema kweli mpenz wa mungu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125] [emoji125]


_Jf Mtawangu
 
Naomba kufahamishwa kwa waliowahi kutumia Toyota Preimio,zipo za version mbalimbali lakini me niko interested na Primio modal ya 2004 na 2005 CC1490 , binafsi nimejaribu kuchunguza sijajona tofauti ya kimaumbile but nilipoingia kikokotozi cha TRA zinadiffer kwa zaidi ya laki saba,kwenye kodi,but kwenye bei ya Japan hazitofautiani sana bei.
Kabla sijaenda kujilipua naomba muongozo kwa gari tajwa hapo juu View attachment 811824

2004 na 2005 zinatofauti kimuundo tu kidgo, mfano gear liva ya 2005(baadhi ni zigzag) wakati ya 2004 iko mstari mnyoofu, taa ya nyuma ya 2005 ina mbwembwe kidgo tofauti na 2004 na hata fog lamp ya 2005 ni ndogo zaidi kuliko 2004.
 
Sorry lkn mkuu hizo hua hazina mvuto kabisaa,sorry lkn
Hahaha najua but mfuko kaka ndo unadetermine hapa mjini uendeshe nini, coz nadeclare interest me napenda sedan so unashauri labda altenative gani coz mark X ,Mark ii brevis , crown nazipenda but running cost zake naona kwangu sio rafik kabisa. Allion siipendi
 
2004 na 2005 zinatofauti kimuundo tu kidgo, mfano gear liva ya 2005(baadhi ni zigzag) wakati ya 2004 iko mstari mnyoofu, taa ya nyuma ya 2005 ina mbwembwe kidgo tofauti na 2004 na hata fog lamp ya 2005 ni ndogo zaidi kuliko 2004.
Nimejaribu kuchunguza gear liver za CC 1490 sio zigzag kwa magari ya 2005.But thanks kwa kunielewesha, je kama umezitumia vip confortability yak barabarani
 
Sorry lkn mkuu hizo hua hazina mvuto kabisaa,sorry lkn
tafuta allion,inafanana kila kitu na premio ila ina sura nzuri zaidi , premio imefubaa, yani face yake is not attractive ata muundo wa taa.
 
Nimejaribu kuchunguza gear liver za CC 1490 sio zigzag kwa magari ya 2005.But thanks kwa kunielewesha, je kama umezitumia vip confortability yak barabarani

Hata cc 1500 zipo za zigzag, mm nilishawahi kuwa nayo ya mwaka 2003 nzt240 ni nzuri sana hasa fuel consumption ila niliiuza kwasababu nilikuwa naharibu pump kulazimisha speed pulling yale ni ndogo ila kwa matumizi ya kawaida ni nzuri tu.
 
tafuta allion,inafanana kila kitu na premio ila ina sura nzuri zaidi , premio imefubaa, yani face yake is not attractive ata muundo wa taa. alafu usinunue migari iliyozagaa mjini kisa majina. utakuwa kama bendera.

Mimi namshauri asifuate ushauri wako, yeye aangalie nafsi yake inapenda nini kwa mfano mimi allion siipendi pyuu, ila napenda premio. Kuwa nyingi mjini sio ishu hakuna kitu cha peke ako, aliye wa pekee ni Mungu hakuna kingine.
 
old modal iko poa sana, hutojuta,, hata ukifunguka 120 speed, haitetereki,, iko chinichini,, naikubali sanaa,, kwenye kona huna wasiwasi
 
tofauti ni kua moja ni ya 2004 na nyingine ni ya 2005, dont complicate things old man
 
Mi nimetumia Premio ya 1999 baadae nikaiuza nikanunua ya 2002 ninayo kwa sasa. Ni gari nzuri. Suala la mdau kuwa gari haina sura nzuri ni mtazamo wake. Maana hata binadamu wako hivyo. We ukimchagua mwanamke na ukasema ni mzuri kuna mwingine atasema jamaa ni mtu wa hovyo sana kaacha wanawake wazuri kamchukua yule!!. Ni gari nzuri nunua. Ni imara na imetulia sana barabarani. Nimeiendesha toka Bk to Mwanza km 426, Bk to Dar mara nyingi km karibu 1400 Bk to Mpanda, Bk to Kampala na haijanisumbua. Sema ya kwangu ni cc 1740. Mafuta haibugii. Chukua chuma mzee. Hakuna gari nyingi Tz kama Landcruiser hardtop na V8 lakini bado zinanunuliwa tu. Ukitaka gari ya peke yako hutoipata.
 
Mimi namshauri asifuate ushauri wako, yeye aangalie nafsi yake inapenda nini kwa mfano mimi allion siipendi pyuu, ila napenda premio. Kuwa nyingi mjini sio ishu hakuna kitu cha peke ako, aliye wa pekee ni Mungu hakuna kingine.
allion ikiwa na sports rims we acha kabisa. ila premio ni kwa wazee allion ya vijana. ila kila mtu na choice yake.
 
tafuta allion,inafanana kila kitu na premio ila ina sura nzuri zaidi , premio imefubaa, yani face yake is not attractive ata muundo wa taa.
Aisee me Allion sijawahi kuipenda kabisa, na huwa naona taa zake za mbele hazijakaa vizuri,
 
me pia napenda sana premio asee ni gari ambayo huumizi kichwa about fuel iko poa ata kimuonekano
akina mark x crown, mazda , ni nzur lakin kama uchumi wako hauruhusu bora uchukue premio _,,

kuhusu utofauti me nadhani kwenye taa za nyuma tu 2005 ina mbwembwe kidogo
 
Mi nimetumia Premio ya 1999 baadae nikaiuza nikanunua ya 2002 ninayo kwa sasa. Ni gari nzuri. Suala la mdau kuwa gari haina sura nzuri ni mtazamo wake. Maana hata binadamu wako hivyo. We ukimchagua mwanamke na ukasema ni mzuri kuna mwingine atasema jamaa ni mtu wa hovyo sana kaacha wanawake wazuri kamchukua yule!!. Ni gari nzuri nunua. Ni imara na imetulia sana barabarani. Nimeiendesha toka Bk to Mwanza km 426, Bk to Dar mara nyingi km karibu 1400 Bk to Mpanda, Bk to Kampala na haijanisumbua. Sema ya kwangu ni cc 1740. Mafuta haibugii. Chukua chuma mzee. Hakuna gari nyingi Tz kama Landcruiser hardtop na V8 lakini bado zinanunuliwa tu. Ukitaka gari ya peke yako hutoipata.

Me kwa mtizamo wangu Premio ni nzuri kwa kuitazama pia kwa uelewa wangu mdogo wa magari nadhani ni nzuri kuliko IST,RAUM,PREMIO,SPACIO au Allion. Siwezi kuilinganisha na mafahari kama Brevis au Crown iwe royal au Athlete wala Mark X ,Subaru impreza au Fuga hizo gari ni level nyingine ,coz engine zake ni kubwa hence its too luxury na due to that running cost yake ni kubwa kidogo kulinganisha na Premio ijapokuwa zote bei zake hazitofautiani sana.
 
Premio na allion tofauti yake ni taa tu, mi ninatumia allion ipo poa sana hii kitu.
 
Back
Top Bottom