Ipi tofauti ya nyumba na banda la nyumba?

dimaa

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
4,174
Reaction score
5,658
Salute,


Naskiaga sana watu wanasema, mimi namiliki banda la nyumba , ni nini na nini kinatakiwa kuwepo katika nyumba ndo tuiite hii ni nyumba?


Nini chanzo cha huu msemo?
 
Chanzo cha huo msemo nadhani ni wale waliokata tamaa au walioshindwa kuwa na nyumba nzuri na ya kisasa iliyokamilika kila idara
 
Chanzo cha huo msemo nadhani ni wale waliokata tamaa au walioshindwa kuwa na nyumba nzuri na ya kisasa iliyokamilika kila idara
Inakuwa na nini na nini?
 
nyumba ni jengo unaloishi..
banda ni sehemu ya kujificha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…