Ipi TOYO imara kati ya wanhoo, kinglion na kapor

Ipi TOYO imara kati ya wanhoo, kinglion na kapor

kankara

Member
Joined
Jul 19, 2014
Posts
25
Reaction score
17
Habari wana jamvi

Naomba kujuzwa kuhusu izi pikipiki za kubebea mizigo zenye tairi tatu maarufu kama TOYO ni aina gani ni bora zaidi bei usizidi 5M
 
Vip kuhusu uimara wa chombo yan injini, difu na zaga zingine za kiufundi ukiacha muonekano wa macho
 
Injini za kupoza kwa maji kwa maana ya zenye rejeta kama iyo wanhoo au sio
 
Back
Top Bottom