Ipi yenye faida, kati ya biashara ya kutembeza (kufuata wateja), au ya kukaa mahali kusubiri wateja?

Joined
Nov 28, 2014
Posts
34
Reaction score
3
Hello wana jamii forums

Mimi nimejaribu kuangalia jinsi biashara zinavyoenda hususani Moshi,nimeona kuna utendaji wa biashara wa aina mbili kutembeza na nyingine kukaa kusubiria wateja,mfano biashara ya nguo,viatu,ndizi naona kuna wanaotembeza na wanao kaa mahali kusubiria wateja.Ipi ni nzuri kati ya hizi na ipi yenye faida biashara ya kutembeza au kukaa kusubiria wateja.

Nahitaji mchango wenu wa mawazo.

Asanteni
 
Unaweza kukaa au kutembea but kama huna kauli nzuri kwa wateja wako na ukarimu mtu ataishia kutembeza bidhaa bila mafanikio...pia eneo la kutembeza au kukaa kufanyia biashara nayo ni njia moja wapo ya kupiga biashara poa.kuna vitu vingi vya kuangalia kabla ya kutembeza au kakaa sehemu moja kufanya biashara...
 
Biashara ya kutembeza sio nzuri sababu mteja wako atashindwa kukupata pindi akuitajipo!
 
Zote tamu inatokan na biashara ip unaifanya hpo ni maombi kwa san au kwa sangoma kwa san asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…