Ipo haja ya mainjinia wa TANESCO kufanyiwa mohojiano ya kiuchunguzi umeme unapokatika nchi nzima

Ipo haja ya mainjinia wa TANESCO kufanyiwa mohojiano ya kiuchunguzi umeme unapokatika nchi nzima

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Nikijitambua kama mzalendo kamili nchini sitasita kutoa maoni yangu kuntu hususani linapokuja swala la umeme kukatika nchi nzima kwa visingizio visivyo na mashiko kwa wanasayansi kama mimi.

Tanesko sio tu shirika kama yalivyo mashirika mengine ni shirika la kimkakati na la kiusalama.

Kukatika kwa umeme sehemu yoyote nchini lisichukuliwe kama jambo rahisi kutofikishwa kwa umeme sehemu yoyote lisichukuliwe kuwa jambo laini tu umeme ni uhai, umeme ni uchumi na umeme ni usalama wa nchi.

Kamwe isichukuliwe poa pindi umeme unapokatika zaidi tusichukulie mzaha pale ambapo umeme unakatika almost nchi nzima zaidi ya masaa manne hadi sita thisi is a serious national offence.

Nikiwa kama mwananchi msomi sitaki kumlaumu mwanasiasa yoyote bali lawama zangu zitamshukia mtaalamu husika. HAIWEZEKANI NA KAMWE HAILEWEKI kukatizwa kwa umeme masaa mengi na nchi nzima bila kuwa na hujuma ya wazi nyuma yake are we serious kama wataalamu? Yaani ni kweli tunashindwa kudeal na positive vs negative charges kwa kiwango hiki?

TANESKO lazima wawajibike vilivyo, unless they planned to subbotage all along!

Haiwezekani kila uchao mlalamikiwe ninyi tu halafu mnatuletea visingizio vya kisiasa eti maji yamezidia mashine how and to what extent does correlate to amount of rainfall to date can we compare to the amount of rainfall back in the days? What is the maximum amount of rainfall and therefore amount of water could lead into such scenario?were you not prepared? BIG NO NO NO.

Mainjinia wa TANESKO lazima wafunzwe somo this time na somo lenyewe ni kuwafuta kazi kuanzia technician mkuu hadi wa ngazi ya chini bila kujali kelele za ubinadamu. YES YES YES. Let us have a massive reshuffle and restart with newer electricians in town.

Najaribu kufikiri tu iwapo mitambo yetu ya umeme kidatu ingepigwa bomu leo hii. How long could it take to resume? Kama tuna wataalamu careless kiasi hiki wakati wa kawaida itakuwaje wakati wa vita? Kule Ukraine kinu kinapigwa bomu lakini umeme unarejea in few hours /days.

Mheshimiwa Rais futa kabisa hawa wataalamu waliokosa weledi tuanze A.

Wataalamu hawa hawana plan A, B na C ni makanjanja na threat to our national security.

Bottomline :Ifike mahali wapuuzi wanaotaka kusherehesha upuuzi wawajibishwe kikamilifu na iwe funzo kwa wengine.

KWA HISANI YA MTU WATANZANIA!!
 
Hiyo ni hujuma ya wazi wazi, na inaonekana waliofanya hilo tukio walilipwa na wanasiasa uchwara ili kumkomoa raisi na serikali yake.

Washenzi kama hao wasipochuliwa hatua mapema, basi tutarajie hujuma nyingi za namna hiyo katika mambo mbali mbali ya miundombinu, maendeleo nk.

Inatakiwa wasimamishwe kazi wote, wahojiwe na ikionekana kuna hujuma wamefanya basi wafukuzwe kazi na kufungwa miaka kumi kumi kila mmoja.
 
Wewe umeongea point tupu naunga mkono hoja yako ila sio wale wanaosema Dkt. Biteko au Rais wawajibike maana naona kama hawajuhi wasemalo.

Suala la kitaalamu kama umeme sio suala la kuwajibika Kwa Kila mtu ila ni suala la kitaalamu zaidi na chochote anachosema Waziri kuhusu ni kulingana na tathmini ya kitaalamu.

Ni jambo la kushangaza kudai awajibishwa Waziri wa afya Kwa sababu NIMR wametangaza Kuna ugonjwa Fulani au ni jambo la kushangaza zaidi kutaka Waziri wa nishati awajibishwe Kwa sababu TANESCO wamekata umeme?

Tukitaka kuwawajibisha mawaziri Kwa sababu ya utendaji mbovu wa taasisi zilizopo ndani ya wizara basi hatuna budi katiba kutamka Wazi kabisa kwamba Waziri ni lazima awe na utaalamu wa juu wa masuala ya wizara husika.

Waziri anatakiwa kuwajibika kwenye issue za uongozi na sio uendeshaji.
 
Wewe umeongea point tupu naunga mkono hoja yako ila sio wale wanaosema Dkt. Biteko au Rais wawajibike maana naona kama hawajuhi wasemalo...
Umesema vyema

Inatukumbusha kuwajibika kama wanataaluma.zipo baaadhi ya kada zibafanya blunders lakini zimejifucha kwenye taaluma...
 
Nani sasa wakushughurika na hayo? Kiongozi gani aliyetayari kupambana na hujuma za wapuuzi hapa nchini dhidi ya maendeleo ya nchi.
Kama rais kwa sasa hana huo uwezo zaidi nayeye analalamika kama sisi raia tusiokuwa na uamuzi wowote nchini.

Kiongozi mwenye uwezo wa kupambana na hizi hujuma alishakufa kwa sasa nchi inajiendea inavyotaka kwa maslahi ya mashetani wachache waliojificha ktk migongo ya wanasiasa wahuni na waajiriwa majizi serikalini.

Kwa sasa nchi iko gizani yaani kila jambo limekuwa la hovyo, hapa ndipo mtamkumbuka yule bwana, hata kama hamkumpenda lakini mnakubali na kilio kila mtu anakipata japo masugu wanajidai kulilia gizani ili tusiwaone wakikubali jitihada za bwana yule aliyepambana na hizi fitina za kihuni dhidi ya Taifa.

Tanzania tumekwisha, bila kufanya kitu, huyu kiongozi na genge lake atatupeleka shimoni, na kwa sasa kadhamilia kuuza kila secta kwa majizi ya uarabuni huko ujombani ili watutawale vizuri kwa visingizio vya ushindani wa kuendesha miradi na uwekezaji kumbe ndani yake kuna faida inatafutwa.

Tutazidi kujionea maovu mengi, huu ni mwanzo tu.
 
Kuna Jamaa alikuwa Mlinzi wa Geti TANESCO baadae akawa anabeba ngazi na kufuata Mafundi muda si muda akawa fundi Mkuu wa TANESCO Wilaya😆

Hii Nchi inaitwa TANZANIA ati Wananchi wanasuburi Maendeleo 🤣🤣
 
Naibu Waziri Mkuu anasema maji yaliingia kwenye Mtambo wa kuzalisha umeme ndio umeme ukakata.
 
Nikijitambua kama mzalendo kamili nchini sitasita kutoa maoni yangu kuntu hususani linapokuja swala la umeme kukatika nchi nzima kwa visingizio visivyo na mashiko kwa wanasayansi kama mimi.

Tanesko sio tu shirika kama yalivyo mashirika mengine ni shirika la kimkakati na la kiusalama.

kukatika kwa umeme sehemu yoyote nchini lisichukuliwe kama jambo rahisi...kutofikishwa kwa umeme sehemu yoyote lisichukuliwe kuwa jambo laini tu umeme ni uhai, umeme ni uchumi na umeme ni usalama wa nchi.

Kamwe isichukuliwe poa pindi umeme unapokatika zaidi tusichukulie mzaha pale ambapo umeme unakatika almost nchi nzima zaidi ya masaa manne hadi sita thisi is a serious national offence.

Nikiwa kama mwananchi msomi sitaki kumlaumu mwanasiasa yoyote bali lawama zangu zitamshukia mtaalamu husika...HAIWEZEKANI NA KAMWE HAILEWEKI kukatizwa kwa umeme masaa mengi na nchi nzima bila kuwa na hujuma ya wazi nyuma yake are we serious kama wataalamu? Yaani ni kweli tunashindwa kudeal na positive vs negative charges kwa kiwango hiki?

TANESKO lazima wawajibike vilivyo, unless they planned to subbotage all along!

Haiwezekani kila uchao mlalamikiwe ninyi tu halafu mnatuletea visingizio vya kisiasa eti maji yamezidia mashine how and to what extent...does correlate to amount of rainfall to date can we compare to the amount of rainfall back in the days? what is the maximum amount of rainfall and therefore amount of water could lead into such scenario?were you not prepared? BIG NO NO NO...

mainjinia wa TANESKO lazima wafunzwe somo this time na somo lenyewe ni kuwafuta kazi kuanzia technician mkuu hadi wa ngazi ya chini bila kujali kelele za ubinadamu. YES YES YES...Let us have a massive reshuffle and restart with newer electricians in town.

najaribu kufikiri tu iwapo mitambo yetu ya umeme kidatu ingepigwa bomu leo hii...how long could it take to resume ?kama tuna wataalamu careless kiasi hiki wakati wa kawaida itakuwaje wakati wa vita? Kule Ukraine kinu kinapigwa bomu lakini umeme unarejea in few hours /days.

mheshimiwa Rais futa kabisa hawa wataalamu waliokosa weledi tuanze A.

wataalamu hawa hawana plan A, B na C ...ni makanjanja na threat to our national security.

Bottomline :Ifike mahali wapuuzi wanaotaka kusherehesha upuuzi wawajibishwe kikamilifu na iwe funzo kwa wengine.

KWA HISANI YA MTU WATANZANIA!!
Unajua nini?
Ardhi ya Tanzania ilipata laana 1967
TANESCO kila kilicho chake kipo juu ya ardhi...TAFAKARI
 
Nikijitambua kama mzalendo kamili nchini sitasita kutoa maoni yangu kuntu hususani linapokuja swala la umeme kukatika nchi nzima kwa visingizio visivyo na mashiko kwa wanasayansi kama mimi.

Tanesko sio tu shirika kama yalivyo mashirika mengine ni shirika la kimkakati na la kiusalama.

kukatika kwa umeme sehemu yoyote nchini lisichukuliwe kama jambo rahisi...kutofikishwa kwa umeme sehemu yoyote lisichukuliwe kuwa jambo laini tu umeme ni uhai, umeme ni uchumi na umeme ni usalama wa nchi.

Kamwe isichukuliwe poa pindi umeme unapokatika zaidi tusichukulie mzaha pale ambapo umeme unakatika almost nchi nzima zaidi ya masaa manne hadi sita thisi is a serious national offence.

Nikiwa kama mwananchi msomi sitaki kumlaumu mwanasiasa yoyote bali lawama zangu zitamshukia mtaalamu husika...HAIWEZEKANI NA KAMWE HAILEWEKI kukatizwa kwa umeme masaa mengi na nchi nzima bila kuwa na hujuma ya wazi nyuma yake are we serious kama wataalamu? Yaani ni kweli tunashindwa kudeal na positive vs negative charges kwa kiwango hiki?

TANESKO lazima wawajibike vilivyo, unless they planned to subbotage all along!

Haiwezekani kila uchao mlalamikiwe ninyi tu halafu mnatuletea visingizio vya kisiasa eti maji yamezidia mashine how and to what extent...does correlate to amount of rainfall to date can we compare to the amount of rainfall back in the days? what is the maximum amount of rainfall and therefore amount of water could lead into such scenario?were you not prepared? BIG NO NO NO...

mainjinia wa TANESKO lazima wafunzwe somo this time na somo lenyewe ni kuwafuta kazi kuanzia technician mkuu hadi wa ngazi ya chini bila kujali kelele za ubinadamu. YES YES YES...Let us have a massive reshuffle and restart with newer electricians in town.

najaribu kufikiri tu iwapo mitambo yetu ya umeme kidatu ingepigwa bomu leo hii...how long could it take to resume ?kama tuna wataalamu careless kiasi hiki wakati wa kawaida itakuwaje wakati wa vita? Kule Ukraine kinu kinapigwa bomu lakini umeme unarejea in few hours /days.

mheshimiwa Rais futa kabisa hawa wataalamu waliokosa weledi tuanze A.

wataalamu hawa hawana plan A, B na C ...ni makanjanja na threat to our national security.

Bottomline :Ifike mahali wapuuzi wanaotaka kusherehesha upuuzi wawajibishwe kikamilifu na iwe funzo kwa wengine.

KWA HISANI YA MTU WATANZANIA!!
Haihitaji kuwa shahada kufahamu kuwa waziri anaweza kutokuwa wa fani ya wizara anayoiongoza, na hata akiwa wataalamu ndio wenye jukumu la kumpa ufafanuzi ili atueleze sisi wananchi na ikibidi anawapa fursa wataalam kufafanua zaidi.
 
Nikijitambua kama mzalendo kamili nchini sitasita kutoa maoni yangu kuntu hususani linapokuja swala la umeme kukatika nchi nzima kwa visingizio visivyo na mashiko kwa wanasayansi kama mimi.

Tanesko sio tu shirika kama yalivyo mashirika mengine ni shirika la kimkakati na la kiusalama.

kukatika kwa umeme sehemu yoyote nchini lisichukuliwe kama jambo rahisi...kutofikishwa kwa umeme sehemu yoyote lisichukuliwe kuwa jambo laini tu umeme ni uhai, umeme ni uchumi na umeme ni usalama wa nchi.

Kamwe isichukuliwe poa pindi umeme unapokatika zaidi tusichukulie mzaha pale ambapo umeme unakatika almost nchi nzima zaidi ya masaa manne hadi sita thisi is a serious national offence.

Nikiwa kama mwananchi msomi sitaki kumlaumu mwanasiasa yoyote bali lawama zangu zitamshukia mtaalamu husika...HAIWEZEKANI NA KAMWE HAILEWEKI kukatizwa kwa umeme masaa mengi na nchi nzima bila kuwa na hujuma ya wazi nyuma yake are we serious kama wataalamu? Yaani ni kweli tunashindwa kudeal na positive vs negative charges kwa kiwango hiki?

TANESKO lazima wawajibike vilivyo, unless they planned to subbotage all along!

Haiwezekani kila uchao mlalamikiwe ninyi tu halafu mnatuletea visingizio vya kisiasa eti maji yamezidia mashine how and to what extent...does correlate to amount of rainfall to date can we compare to the amount of rainfall back in the days? what is the maximum amount of rainfall and therefore amount of water could lead into such scenario?were you not prepared? BIG NO NO NO...

mainjinia wa TANESKO lazima wafunzwe somo this time na somo lenyewe ni kuwafuta kazi kuanzia technician mkuu hadi wa ngazi ya chini bila kujali kelele za ubinadamu. YES YES YES...Let us have a massive reshuffle and restart with newer electricians in town.

najaribu kufikiri tu iwapo mitambo yetu ya umeme kidatu ingepigwa bomu leo hii...how long could it take to resume ?kama tuna wataalamu careless kiasi hiki wakati wa kawaida itakuwaje wakati wa vita? Kule Ukraine kinu kinapigwa bomu lakini umeme unarejea in few hours /days.

mheshimiwa Rais futa kabisa hawa wataalamu waliokosa weledi tuanze A.

wataalamu hawa hawana plan A, B na C ...ni makanjanja na threat to our national security.

Bottomline :Ifike mahali wapuuzi wanaotaka kusherehesha upuuzi wawajibishwe kikamilifu na iwe funzo kwa wengine.

KWA HISANI YA MTU WATANZANIA!!
Wataishia kutupiana lawama wao kwa wao
 
Aachwe fukuzwa anayesimamia wizara inabaki kuzunguka kichaka , hakuna uwajibikaji Tanesco ni vile bora liende

Tanesco iko na idadi kubwa ya Engineers 500+ lakini hawana nguvu ya kuonesha uwezo wao zaidi ya kufuata matakwa ya akili ndogo zilizo juu ambayo ni ndiyo Mzee Kwa kila Jambo.

Biteko apate muda wa kukutana na Engineers asikie mikakati waliyo nayo na si kuonana na Directors, Managers ambao wamekalia uoga katika kutoa mitazamo Yao Kwa kuhofia kukosa nafasi walizokalia.
 
Nikijitambua kama mzalendo kamili nchini sitasita kutoa maoni yangu kuntu hususani linapokuja swala la umeme kukatika nchi nzima kwa visingizio visivyo na mashiko kwa wanasayansi kama mimi.

Tanesko sio tu shirika kama yalivyo mashirika mengine ni shirika la kimkakati na la kiusalama.

Kukatika kwa umeme sehemu yoyote nchini lisichukuliwe kama jambo rahisi kutofikishwa kwa umeme sehemu yoyote lisichukuliwe kuwa jambo laini tu umeme ni uhai, umeme ni uchumi na umeme ni usalama wa nchi.

Kamwe isichukuliwe poa pindi umeme unapokatika zaidi tusichukulie mzaha pale ambapo umeme unakatika almost nchi nzima zaidi ya masaa manne hadi sita thisi is a serious national offence.

Nikiwa kama mwananchi msomi sitaki kumlaumu mwanasiasa yoyote bali lawama zangu zitamshukia mtaalamu husika. HAIWEZEKANI NA KAMWE HAILEWEKI kukatizwa kwa umeme masaa mengi na nchi nzima bila kuwa na hujuma ya wazi nyuma yake are we serious kama wataalamu? Yaani ni kweli tunashindwa kudeal na positive vs negative charges kwa kiwango hiki?

TANESKO lazima wawajibike vilivyo, unless they planned to subbotage all along!

Haiwezekani kila uchao mlalamikiwe ninyi tu halafu mnatuletea visingizio vya kisiasa eti maji yamezidia mashine how and to what extent does correlate to amount of rainfall to date can we compare to the amount of rainfall back in the days? What is the maximum amount of rainfall and therefore amount of water could lead into such scenario?were you not prepared? BIG NO NO NO.

Mainjinia wa TANESKO lazima wafunzwe somo this time na somo lenyewe ni kuwafuta kazi kuanzia technician mkuu hadi wa ngazi ya chini bila kujali kelele za ubinadamu. YES YES YES. Let us have a massive reshuffle and restart with newer electricians in town.

Najaribu kufikiri tu iwapo mitambo yetu ya umeme kidatu ingepigwa bomu leo hii. How long could it take to resume? Kama tuna wataalamu careless kiasi hiki wakati wa kawaida itakuwaje wakati wa vita? Kule Ukraine kinu kinapigwa bomu lakini umeme unarejea in few hours /days.

Mheshimiwa Rais futa kabisa hawa wataalamu waliokosa weledi tuanze A.

Wataalamu hawa hawana plan A, B na C ni makanjanja na threat to our national security.

Bottomline :Ifike mahali wapuuzi wanaotaka kusherehesha upuuzi wawajibishwe kikamilifu na iwe funzo kwa wengine.

KWA HISANI YA MTU WATANZANIA!!
Mkuu ulisoma umeme walau kwa kiwango cha chekechea?
 
Back
Top Bottom