Nimepita mahala muda sio mfupi na kumkuta mtumishi mmoja wa bwana akitoa mahubiri yenye ukakasi kwelikweli huku akishangiliwa kwelikweli na hadhara yake,nimemsikia kwa masikio yangu mawili eti akisema wanawake wa sasa hivi wamekuwa mercenaries
Hii ni sawa kweli kumfananisha mwanamke na Wagner group
Kwa sasa nimeondoka eneo la hayo mahubiri lakini nahisi mpaka mwisho wa mahubiri yake ataweza kuwafananisha wanawake na virus vya corona kwa sababu anaongea kama mtu mwenye hasira za kuachwa
Hii ni sawa kweli kumfananisha mwanamke na Wagner group
Kwa sasa nimeondoka eneo la hayo mahubiri lakini nahisi mpaka mwisho wa mahubiri yake ataweza kuwafananisha wanawake na virus vya corona kwa sababu anaongea kama mtu mwenye hasira za kuachwa