Ngolewasima
Member
- Apr 4, 2017
- 51
- 112
UNAJUA YA KWAMBA….
1.Kitu kizuri kupita vyote ni: UPENDO
2.Kitu rahisi sana kuliko vyote ni: KUDANGANYIKA
3.Zawadi kubwa kuliko zote ni: KUSAMEHE
4.Ajali kubwa kuliko zote ni: KUKATA TAMAA
5.Kitu kinacho danganyika sana kuliko vyote ni: MOYO
6.Kitu kinachojenga pia kubomoa kuliko vyote ni: ULIMI
7.Kitu kibaya kuliko vyote ni: KUOWA AU KUOLEWA VIBAYA
8.Ugonjwa mbaya kuliko zote ni: UJINGA
9.Silaha ya shindi kuliko zote ni: UVUMILIVU
10.Munyama mbaya kuliko wote ni: MWANADAMU
11.Adui wa mtu kuliko wote ni: MWILI
12.Kitu ambacho mtu anachokichunga kisichokuwa na maana ni: FITINA
13.Hazina kubwa kuliko zote ni: FURAHA
14.Sumu inayo uwa haraka ni: UONGO
15.Kifaa kinachoweza kujenga jengo lisiloweza kutikisika ni:
UAMINIFU.
Nini maoni yako....!!!?
1.Kitu kizuri kupita vyote ni: UPENDO
2.Kitu rahisi sana kuliko vyote ni: KUDANGANYIKA
3.Zawadi kubwa kuliko zote ni: KUSAMEHE
4.Ajali kubwa kuliko zote ni: KUKATA TAMAA
5.Kitu kinacho danganyika sana kuliko vyote ni: MOYO
6.Kitu kinachojenga pia kubomoa kuliko vyote ni: ULIMI
7.Kitu kibaya kuliko vyote ni: KUOWA AU KUOLEWA VIBAYA
8.Ugonjwa mbaya kuliko zote ni: UJINGA
9.Silaha ya shindi kuliko zote ni: UVUMILIVU
10.Munyama mbaya kuliko wote ni: MWANADAMU
11.Adui wa mtu kuliko wote ni: MWILI
12.Kitu ambacho mtu anachokichunga kisichokuwa na maana ni: FITINA
13.Hazina kubwa kuliko zote ni: FURAHA
14.Sumu inayo uwa haraka ni: UONGO
15.Kifaa kinachoweza kujenga jengo lisiloweza kutikisika ni:
UAMINIFU.
Nini maoni yako....!!!?