Ipo hivi.....

Ipo hivi.....

Ngolewasima

Member
Joined
Apr 4, 2017
Posts
51
Reaction score
112
UNAJUA YA KWAMBA….
1.Kitu kizuri kupita vyote ni: UPENDO
2.Kitu rahisi sana kuliko vyote ni: KUDANGANYIKA
3.Zawadi kubwa kuliko zote ni: KUSAMEHE
4.Ajali kubwa kuliko zote ni: KUKATA TAMAA
5.Kitu kinacho danganyika sana kuliko vyote ni: MOYO
6.Kitu kinachojenga pia kubomoa kuliko vyote ni: ULIMI
7.Kitu kibaya kuliko vyote ni: KUOWA AU KUOLEWA VIBAYA
8.Ugonjwa mbaya kuliko zote ni: UJINGA
9.Silaha ya shindi kuliko zote ni: UVUMILIVU
10.Munyama mbaya kuliko wote ni: MWANADAMU
11.Adui wa mtu kuliko wote ni: MWILI
12.Kitu ambacho mtu anachokichunga kisichokuwa na maana ni: FITINA
13.Hazina kubwa kuliko zote ni: FURAHA
14.Sumu inayo uwa haraka ni: UONGO
15.Kifaa kinachoweza kujenga jengo lisiloweza kutikisika ni:
UAMINIFU.


Nini maoni yako....!!!?
 
Rekebisha hicho Kiswahili kwanza ndo tutoe maoni yetu. [emoji848][emoji848][emoji848]
 
MOYO unadanganyikaje? Tangu uko tumboni moyo unafanya kazi yake ya kusukuma damu INVOLUNTARY. Siku 'ukidanganyika' uache kazi yake ya kusukuma damu ndio mwisho wako kuishi.
 
Zawadi kubwa kuliko zote -kubalikiwa wowowoo
Sura hata Mbuzi anayo-shida ni wowowoo

Wachini leta zako
 
Kitu chepesi kuliko vyote ni Mb*o kwani inaweza kuinuliwa hata na mawazo tu.
 
UNAJUA YA KWAMBA….
1.Kitu kizuri kupita vyote ni: UPENDO
2.Kitu rahisi sana kuliko vyote ni: KUDANGANYIKA
3.Zawadi kubwa kuliko zote ni: KUSAMEHE
4.Ajali kubwa kuliko zote ni: KUKATA TAMAA
5.Kitu kinacho danganyika sana kuliko vyote ni: MOYO
6.Kitu kinachojenga pia kubomoa kuliko vyote ni: ULIMI
7.Kitu kibaya kuliko vyote ni: KUOWA AU KUOLEWA VIBAYA
8.Ugonjwa mbaya kuliko zote ni: UJINGA
9.Silaha ya shindi kuliko zote ni: UVUMILIVU
10.Munyama mbaya kuliko wote ni: MWANADAMU
11.Adui wa mtu kuliko wote ni: MWILI
12.Kitu ambacho mtu anachokichunga kisichokuwa na maana ni: FITINA
13.Hazina kubwa kuliko zote ni: FURAHA
14.Sumu inayo uwa haraka ni: UONGO
15.Kifaa kinachoweza kujenga jengo lisiloweza kutikisika ni:
UAMINIFU.


Nini maoni yako....!!!?
Nasikitika kwamba hii thread yako inaweza isipate "LIKES". Watu tulio wengi huwa hatupendi ukweli
 
zawadi kubwa kuliko zote isiosaulika ni ukimwi
 
Back
Top Bottom