M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Sote tunamjua? Au ni wewe si ueleze kisaHaki ya aliyeingizwa Chupa sehemu za siri huko Babati ipo wapi?
Pole sanaSote tunamjua? Au ni wewe si ueleze kisa
Bora akuue kuliko kukufanya nn?ishazimwa hiyo, atakuwa alilipwa kimya kimya ili mambo yasiwe mengi.
kwa upande wangu bora uniue
Chini ya utawala wa CCM maskini na mafukara hawana haki nchini Tanzania.Haki ya Kijana aliyeingizwa Chupa sehemu za siri huko Babati na Mheshimiwa Mbunge ipo wapi? Kijana kadhulumiwa Haki yake na mtunga Sheria?
NB: TLS, wanaharakati kulikon?
kuliko kuniingiza hiyo chupaBora akuue kuliko kukufanya nn?
Nchi iliyo kithiri kwa rushwa tegemea kuku kuitwa temboHaki ya Kijana aliyeingizwa Chupa sehemu za siri huko Babati na Mheshimiwa Mbunge ipo wapi? Kijana kadhulumiwa Haki yake na mtunga Sheria?
NB: TLS, wanaharakati kulikon?
kwani haki ya aliyelawitiwa na RC kule mwanza imepatikana? hii dunia mtoa haki ni Mungu tu.Haki ya Kijana aliyeingizwa Chupa sehemu za siri huko Babati na Mheshimiwa Mbunge ipo wapi? Kijana kadhulumiwa Haki yake na mtunga Sheria?
NB: TLS, wanaharakati kulikon?
Kama kuna mkuu alitaka kubakwa akajikausha hao wengine watapata haki wapi?kwani haki ya aliyelawitiwa na RC kule mwanza imepatikana? hii dunia mtoa haki ni Mungu tu.
Mimi nilidhani badala ya kutetea haki humu jukwaaani, ungefunga mwenyewe safari mpaka huko Babati ili ukatafute ukweli halisi wa hilo tukio kupitia utafiti wako wa kina; halafu sasa ndiyo ungekuja kuililia haki ya huyo kijana humu jukwaani. Maana siasa wakati fulani ina mambo mengi.Haki ya Kijana aliyeingizwa Chupa sehemu za siri huko Babati na Mheshimiwa Mbunge ipo wapi? Kijana kadhulumiwa Haki yake na mtunga Sheria?
NB: TLS, wanaharakati kulikon?
Wenye hela na vyeo wako Juu ya sheria ,Haki yake amuachie Mungu karma itaamua.Haki ya Kijana aliyeingizwa Chupa sehemu za siri huko Babati na Mheshimiwa Mbunge ipo wapi? Kijana kadhulumiwa Haki yake na mtunga Sheria?
NB: TLS, wanaharakati kulikon?
Wakili Madeleka anaendelea kupigania haki ya dogo.Haki ya Kijana aliyeingizwa Chupa sehemu za siri huko Babati na Mheshimiwa Mbunge ipo wapi? Kijana kadhulumiwa Haki yake na mtunga Sheria?
NB: TLS, wanaharakati kulikon?
Wakuingize nini badala ya Chupa?kuliko kuniingiza hiyo chupa
Kwel kabiskwani haki ya aliyelawitiwa na RC kule mwanza imepatikana? hii dunia mtoa haki ni Mungu tu.
Pole sanaKwel kabis
Mwenyewe naamini walimlipa fastaishazimwa hiyo, atakuwa alilipwa kimya kimya ili mambo yasiwe mengi.
kwa upande wangu bora uniue