Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,443
- 4,006
MkuuUkiangalia hii taarifa unajiuliza kutaja asili ya kihindi lengo lake lilikuwa ni nini? si walishasema Mtanzania?
Je, kosa lake linahusiana na Asili yake? Why wataje Asili ya Mhusika? Utagundua. Ni Ubaguzi. Na tukatae kabisa Ubaguzi. Siku nyingine Watandika Mtanzania Mwenye Asili ya Tanga amehukumiwa kwa sababu ya Ushoga.
View attachment 1912658
Mimi nimefurahi kufahamu kuwa mtuhuyo ni muhindi. Hata wezi wenyeasili yakichina huwa tunaambiwa na nisawa haina shida.
haya mahindi yanatudharaugi sana sijui mtu anakutwaga nanini mpaka kuyatetea. kuoa huwezi kuwa umeoa labda.... maana kukuoa pia hayawezi kukuoa!! Bullshit!!!
badala umtetee mbowe kafungwa unatetea jihindi!! Tena kwakukurupuka mara mwananchi mara ipp!! Whatahell
Namimi kukupinga ni Demokrasia pia!! Bila soni unatetea wabaguzi?alafu tukuache kisa wahindi wamekugusa? Wamekugusaje name wapi Kwanzaa mpaka uache Waafrika wanateseka India wewe unawalilia wakikosa wasitajwe!!! DammitMbona unataka kunipangia wa kumtetea ?si kila mtu anaguswa na jambo lake? Hiyo ndo demokrasia.
Namimi kukupinga ni Demokrasia pia!! Bila soni unatetea wabaguzi?alafu tukuache? kisa umeguswa? Wamekugusa wapi navipi mpaka uwaache Waafrika wenzio wanateswa India wewe unawalilia gabacholi wakikosa wasitajwe!!! DammitMbona unataka kunipangia wa kumtetea ?si kila mtu anaguswa na jambo lake? Hiyo ndo demokrasia.
Mbona hujakatazwa kupinga... Wewe mtetee unayemtaka nami ntamtetea ninayemtaka... Kupanga ni kuchagua. Usikasirike kila mtu anaamua anachopenda ndo demokrasia na maendeleo. Au siyo Bwashee?Namimi kukupinga ni Demokrasia pia!! Bila soni unatetea wabaguzi?alafu tukuache kisa wahindi wamekugusa? Wamekugusaje name wapi Kwanzaa mpaka uache Waafrika wanateseka India wewe unawalilia wakikosa wasitajwe!!! Dammit
Kwasababu ndio wenye tabia za kuhusiana na Baba zao (Incest) sasa wanadharau mama zaoUkiangalia hii taarifa unajiuliza kutaja asili ya kihindi lengo lake lilikuwa ni nini? si walishasema Mtanzania?
Je, kosa lake linahusiana na Asili yake? Why wataje Asili ya Mhusika? Utagundua. Ni Ubaguzi. Na tukatae kabisa Ubaguzi. Siku nyingine Watandika Mtanzania Mwenye Asili ya Tanga amehukumiwa kwa sababu ya Ushoga.
View attachment 1912658
Nilifuatilia hill suala la huyo dada kwenye asili ya kihindi na mama yake wa kambo.Kutukana tu mwaka!!!? Si wangempa kazi ya jamii
Mbantu akitukanwa si ubaguzi wala udhalilishaji. Ndivyo walivyo wahindiNilifuatilia hill suala la huyo dada kwenye asili ya kihindi na mama yake wa kambo.
Sio Mara ya kwanza kushtakiwa kwa kosa hilo la kumtukana huyo mama yake wa kambo ambaye ni mbantu na alishahukumiwa kifungo cha nje kwa makosa hayohayo huko nyuma
Au unapisema sukuma gang huwa una maana gani ?Huwa unakemea media ikiandika "Wafugaji wa Kimasai" au Au "wenye asiki ya Kimasai" Au "mlinzi wa kabila la kimaasai"?
Hakuna ubaguzi hapo,kule kwa anko Sam(USA),raia huitwa Black American,Indian American man,Latino American,Arab American,Ukiangalia hii taarifa unajiuliza kutaja asili ya kihindi lengo lake lilikuwa ni nini? si walishasema Mtanzania?
Je, kosa lake linahusiana na Asili yake? Why wataje Asili ya Mhusika? Utagundua. Ni Ubaguzi. Na tukatae kabisa Ubaguzi. Siku nyingine Watandika Mtanzania Mwenye Asili ya Tanga amehukumiwa kwa sababu ya Ushoga.
View attachment 1912658
Hana kabila? Me najua wanaabudu. Ng'ombe hawa wengine wanapigana kiberiti tu. ( Banyani )Sasa si ndio anaasili ya kihindi
Ukweli ni kwamba hakuna ulazima wa kutaja asili ya mtuKabla sijakurupuka,
Ningependa kujua labda mtu akifariki dar na si wa asili ya hapo, huwa hawasemi huyo mtu ana asili ya eneo flani?
Kama hawasemi bhasi ulichokisema ni sahihi ila kama huwa wanasema bhasi ulichokisema si sahihi.