IPPMEDIA, Magazeti mapya na nyeti za marsha na karamagi

IPPMEDIA, Magazeti mapya na nyeti za marsha na karamagi

nat867

Member
Joined
Feb 14, 2008
Posts
97
Reaction score
7
Naona Ippmedia imeingiza gazeti jipya sokoni likienda kwa jina la SEMA USIKIKE. Gazeti hili toleo la 001 limebeba kichwa cha habari Masha akutana na wababe wa mchezo mchafu geneva -kikao kilifanyika 5 okt 2008 saa 12 hadi 2 usiku chumba0306 hotel mandarin oriental.

Pili naona wamefufua gazeti lao la Taifa letu(binafsi nilikuwa sijaliona long time may b memberz mlishaliona).Toleo la leo na. 00487 lina habari "karamagi adaiwa kudandia wake za vigogo wenzake, avunja ndoa ya mkuu wa wilaya kwa kufanya mapenzi na mkewe, anafanya urafiki na mwenye mke kisha anamgeuzia kibao.Linabainisha kuwa mkuu wa wilaya yupo huko kigoma na ni kijana..
Nikiangalia kumbukumbu zangu naona DC kijana either ni mh. mongela Wa kigoma urban/rural or mh. Bwanamdogo DC wa kasulu.

Hayo mambo mapya ya ippmedia
 
Kama unavyojua kuna magazeti kama tazama , hoja na mengine mengine ambayo mengi anayatuhumu yanatumiwa na mafisadi kumchafua ndio maana na yeye amefufua hayo magazeti yake kuchafua wengine ukisoma hilo la sema usikike mambo yote yamenukuliwa toka jamiiforums
 
shy wacha anukuu jamiiforums si kila mtu anasoma ufisadi kwenye website ....wacha wengine wale vile tunavyokula jf
 
Haya bwana lakini hapo baadaye tusije kutafutana kutokana na comments ??
 
...ina maana gazeti lake la Taifa Letu ameligeuza kuwa la udaku ama? halafu pia si kuna gazeti la wanaotuhumiwa ufisadi leneye jina la Taifa nini sijui, ama nimechanganya somo? Nijuzeni tafadhali.
 
naona hizo habari ni za kweli vinginevyo tunategemea karamagi na masha wa sue for defamation!!!
 
Ni kweli Masha alikwenda Geneva mwezi December kwaajili ya mkutano uliondaliwa na UNHCR,na inawezekana kabisa alikutana na wawakilishi wa SAGEM katika hoteli yake lakini nafikiri ni vigumu sana kuthibitisha tuhuma za aina hii.

Sijui hilo SEMA USIKIKE limetoa uthibitisho gani kuhusu kama ni kweli Mh.Masha alikutana na SAGEM.Nafikiri magazeti mengine yanatafuta kufilisiwa kabla hata hayajatake-off.
 
Kama unavyojua kuna magazeti kama tazama , hoja na mengine mengine ambayo mengi anayatuhumu yanatumiwa na mafisadi kumchafua ndio maana na yeye amefufua hayo magazeti yake kuchafua wengine ukisoma hilo la sema usikike mambo yote yamenukuliwa toka jamiiforums

Kama haya ni kweli, basi huu ni msiba. Kazi ya magazeti ni kuelimisha, kuhabarisha nk. Sasa yanapogeuzwa kuwa ya kuchafuana, tunajenga jamii gani TZ, tunawarithisha nini watoto na wajukuu zetu. Hii ni sawa na magazeti ya udaku, yanaharibu jamii kuliko kuijenga.
 
Mh, haya magazeti ambayo yanaanzishwa kwa lengo na madhumuni ya 'vita' ni hatari sana na sijui mwisho wake ni nini. Yaani huyo mmiliki wa magazeti na hao adui zake wameshindwa kufikia suluhu kabisa- yaani ni jino kwa jino.

Kuelekea 2010 tutaona na kusikia mengi mno isijetokea hata majeshi ya siri yakaanzishwa ili kutengeneza vifo vya watu (maadui). God forbid!
 
- Hiyo inaitwa Jino-Kwa-Jino: Ubaya ubaya TU ...

- Karamagi+RA& Co vs Ippmedia (Mhavile/Sakina/Mengi &Co)

- what a match?
 
- Hiyo inaitwa Jino-Kwa-Jino: Ubaya ubaya TU ...

- Karamagi+RA& Co vs Ippmedia (Mhavile/Sakina/Mengi &Co)

- what a match?

Kweli kaka hii ni JINO kwa JINO, lakini mwisho wake nini? Tunatokomeza ufisadi au? Mpaka 2010 ifike na tumalize uchaguzi, ipo kazi
 
- Hiyo inaitwa Jino-Kwa-Jino: Ubaya ubaya TU ...

- Karamagi+RA& Co vs Ippmedia (Mhavile/Sakina/Mengi &Co)

- what a match?

Walianzia huku tena JF ilitabiri hata kabla magazeti hayo hayajaanzishwa rasmi
 
Ilibidi nae afungiwe au hayo magazeti yafungiwe kwanini mtu anatumia vyombo vyake kufanya uhalifu ?? Huo ni uhalifu
 
yote ni maisha Mengi nI MTU WETU TUKO PAMOJA, mafisadi watamchafua mtu ambae hachafuki,
 
Kuna msemo wa Kiingereza kuwa 'if you urgue with a fool, people will not notice the difference'
 
Mimi nadhani Mengi naye siyo msafi, mimi naweza kumwita fisadi tena wa kuogopwa siyo katika usafi wa ndoa yake tu, bali kwa kupotosha na kuwapumbaza Watanzania kwa kuwa na magazeti mengi yasiyowafunza Watanzania. Baada ya kuona yeye ni mchafu naye ameamua kuwachafua wengine.

Kwa mtindo huu wa kuchafuana hatutafika pamoja popote. nchi haijengwi kwa kuchafuana, bali ni fikra chanya kwa maendeleo yetu.

Kuna taarifa nilizipata kuwa Mh Membe na Mengi wako karibu sana, Kama tujuavyo Membe na Masha hawaivi chungu kimoja, Hivyo wanataka kufanya kila kitu ili malengo yao yaweze kutimia, sijui ni malengo gani. Ila nijuavyo mimi Membe anaifikiria 2015.
 
Ni wazi Mengi amepania kummaliza Masha pasipo sababu, ninaamini hayupo peke yake, kuna watu nyuma yake ambao wametengeneza mtandao kwa ajili ya kufanya kazi hiyo. Kwa mfano, SEMA USIKIKE inasema Masha alisafiri tarehe 1 Oktoba kwa Swiss Air akitoka Dar kwenda Geneva. Binafsi nilikutana na Masha Dubai tarehe hiyo hiyo akitoka China Kwa safari ya Kikazi, hapa ndipo maswali yanakuja hawa wanaandika ukweli au wanataka kutuaminisha wanayotaka wao? Kwa taarifa tu, Gazeti la majira limenunuliwa na Mengi pia.
 
Mkuu maps mbona hatumuongelei huyo dada anayeitwa lilian kimaro mfanyakazi wa msajili wa makampuni brealla ? Sio yeye anayemsadia mengi katika kufanikisha adhama zake chafu katika kutoa siri za baadhi ya kampuni nchini kwa bwana wake ??
 
we are finished! why discuss about people instead of issues of national interest? is jf taking over from global publishers? lets maintain the status of jf for being creative,innovative and open minded.we need reseached information to be shared among us and help our nation move and remain safe from the few grid fellas maarufu kama mafisadi
 
Back
Top Bottom