KINGSLEE
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 830
- 1,046
Wadau nataka kununuwa gari mojawapo kati ya hizo hivyo naomba msaada wakujua ni gari ipi nzuri kati ya hizo.
Nimelenga kumiliki Family car with 4 silinda na bajeti yangu ni 15m.
Nielimishe..
1) Idadi ya watu kukaa
2) Ukubwa wa Engine
3) Uimara wake
4) Upatikanani wa spear
5) Ipi ina status nzuri zaid kwenye jamii
6) Ulaji wa Mafuta ukoje
7) Changamoto zake or Mapungufu yake
8) Mengineyo
Nimelenga kumiliki Family car with 4 silinda na bajeti yangu ni 15m.
Nielimishe..
1) Idadi ya watu kukaa
2) Ukubwa wa Engine
3) Uimara wake
4) Upatikanani wa spear
5) Ipi ina status nzuri zaid kwenye jamii
6) Ulaji wa Mafuta ukoje
7) Changamoto zake or Mapungufu yake
8) Mengineyo