Am chukua ushauri wako hatajuta.Naomba niongelee Ipsum ndio naijua zaidi
1) 7 mbele 2 kati 3 hadi 4 nyuma 2 hadi 3
2) engine ya Kawaida 4 cylinders
3) imara kuliko wish body yake haichakai haraka
4) spea zipo nyingi tu
5) ipsam ina status nzuri kuliko wish
6) 4 cylinder haili sana mafuta
7) Nakushauri usichague ya chini sana chagua iliyopanda kidogo juu uta enjoy
Nashkuru mkuuNaomba niongelee Ipsum ndio naijua zaidi
1) 7 mbele 2 kati 3 hadi 4 nyuma 2 hadi 3
2) engine ya Kawaida 4 cylinders
3) imara kuliko wish body yake haichakai haraka
4) spea zipo nyingi tu
5) ipsam ina status nzuri kuliko wish
6) 4 cylinder haili sana mafuta
7) Nakushauri usichague ya chini sana chagua iliyopanda kidogo juu uta enjoy
Ipsum kubwa kidogo cc yake kuliko wish na inabeba mzigo mkubwa kuliko wishNashkuru mkuu
Ivi Cc zake ni sawa na za wish au tofauti
Ulaji wa mafuta ukoje
idadi ya watu ni sawa tu mzeeIpsum kubwa kidogo cc yake kuliko wish na inabeba mzigo mkubwa kuliko wish
Hapa sasa habari imenoga, Kuna pichaMnyama huyo nimeagiza kwa 13mView attachment 862779View attachment 862780
Mnyama mtamu sana huyu kwa matumizi ya familia ila tatizo ana mabampa yanaifanya gari kuwa chini na sijajua kama inawezekana kuyatoa then ukaweka ya kawaida! halafu binafsi napenda ya 4WD maana kwenye matope hukwami! Ila Toyota noma sana injini ya hii ipsum ndiyo hiyo hiyo ipo kwenye baadhi ya rav 4, alphard, harrier, klugger, camry!!! n.k ndo maana Toyota kukosa spare sio rahisiMnyama huyo nimeagiza kwa 13mView attachment 862779View attachment 862780
Sasa bandarini kodi yake utaiweza?Mnyama huyo nimeagiza kwa 13mView attachment 862779View attachment 862780