#COVID19 Iran: Rais apata chanjo iliyotengenezwa na Wairan wenyewe

#COVID19 Iran: Rais apata chanjo iliyotengenezwa na Wairan wenyewe

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Rais wa Iran Ebrahim Raisi ambaye ameapishwa hivi karibuni, amepata chanjo ya #COVID19 ya COVIran Barekat.

COVIran ni moja ya chanjo inayotengenezwa Iran ambayo ipo katika mchakato wa kuidhinishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO).

Maambukizi ya COVID19 yameongezeka na vifo zaidi ya 500 hurekodiwa kila siku.

===

Iran’s newly sworn-in President Ebrahim Raisi was vaccinated with a locally developed Covid-19 vaccine on Sunday, as Iran marked a record daily increase in infections and over 500 new deaths.

The president received his first shot of COVIran Barekat, one of the two locally produced coronavirus vaccines, on Sunday, local media reported, sharing pictures from the event. Parliament speaker Mohammad Bagher Ghalibaf received a dose of the vaccine alongside the president, who was sworn in earlier this week.

The high-profile vaccination session came amid a new wave of coronavirus infections in the country. On Sunday, Iranian health authorities reported 542 Covid-related deaths, marking a new grim record for the nation. The previous record for fatalities was reported late in April, when the country experienced another massive wave of infections.

The number of new infections registered over the past 24-hour period hit a new high as well, reaching nearly 40,000 cases.
Since the beginning of the pandemic, Iran has registered more than 4.1 million cases of coronavirus, including more than 94,000 deaths, putting the nation among the 15 worst-affected countries in the world hit by the virus. Iran also remains the worst-affected nation in the Middle East region.

The current wave, which has already become the worst in terms of the total number of cases, has plagued the country since June. The surge is believed to be linked to the highly contagious Delta variant, which was first detected in India in late 2020 and has since spread across the globe.
 
COViran nimeielewa sana.Siyo huku Tanzania leo Rais anakuambia kuwa Corona imeondolewa kwa maombi halafu kesho anageuka anakulazimisha uamini kuwa Corona ipo halafu kesho kutwa anakulazimisha uwe mzalendo!WTF!

IwDr3.jpg
 
waafrika ili tuendelee ni lazima tuache kuwanyenyekea mabeberu vinginevyo tutabaki kulaumiana huku mabeberu yakineemeka kupitia sisi
 
Viongozi wetu wa kitaifa ikikupendezeni AWAMU IJAYO YA CHANJO TULETEENI CHANZO KUTOKA IRAN NA CHINA, hizi zingine ahhh atasiongei sana miye
Nadhani chanjo ya mchina iko vizuri maana hatujasikia ikisababisha madhara kama zingine. Nimefuatilia cases zilizoripotiwa China si nyingi sana kama nchi zingine. Labda kama wanaminya data...
 
Rais wa Iran Ebrahim Raisi ambaye ameapishwa hivi karibuni, amepata chanjo ya #COVID19 ya COVIran Barekat.

COVIran ni moja ya chanjo inayotengenezwa Iran ambayo ipo katika mchakato wa kuidhinishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO).

Maambukizi ya COVID19 yameongezeka na vifo zaidi ya 500 hurekodiwa kila siku.

===

Iran’s newly sworn-in President Ebrahim Raisi was vaccinated with a locally developed Covid-19 vaccine on Sunday, as Iran marked a record daily increase in infections and over 500 new deaths.

The president received his first shot of COVIran Barekat, one of the two locally produced coronavirus vaccines, on Sunday, local media reported, sharing pictures from the event. Parliament speaker Mohammad Bagher Ghalibaf received a dose of the vaccine alongside the president, who was sworn in earlier this week.

The high-profile vaccination session came amid a new wave of coronavirus infections in the country. On Sunday, Iranian health authorities reported 542 Covid-related deaths, marking a new grim record for the nation. The previous record for fatalities was reported late in April, when the country experienced another massive wave of infections.

The number of new infections registered over the past 24-hour period hit a new high as well, reaching nearly 40,000 cases.
Since the beginning of the pandemic, Iran has registered more than 4.1 million cases of coronavirus, including more than 94,000 deaths, putting the nation among the 15 worst-affected countries in the world hit by the virus. Iran also remains the worst-affected nation in the Middle East region.

The current wave, which has already become the worst in terms of the total number of cases, has plagued the country since June. The surge is believed to be linked to the highly contagious Delta variant, which was first detected in India in late 2020 and has since spread across the globe.
Safi[emoji1317][emoji1317]
 
Rais wa Iran Ebrahim Raisi ambaye ameapishwa hivi karibuni, amepata chanjo ya #COVID19 ya COVIran Barekat.

COVIran ni moja ya chanjo inayotengenezwa Iran ambayo ipo katika mchakato wa kuidhinishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO).

Maambukizi ya COVID19 yameongezeka na vifo zaidi ya 500 hurekodiwa kila siku.

===

Iran’s newly sworn-in President Ebrahim Raisi was vaccinated with a locally developed Covid-19 vaccine on Sunday, as Iran marked a record daily increase in infections and over 500 new deaths.

The president received his first shot of COVIran Barekat, one of the two locally produced coronavirus vaccines, on Sunday, local media reported, sharing pictures from the event. Parliament speaker Mohammad Bagher Ghalibaf received a dose of the vaccine alongside the president, who was sworn in earlier this week.

The high-profile vaccination session came amid a new wave of coronavirus infections in the country. On Sunday, Iranian health authorities reported 542 Covid-related deaths, marking a new grim record for the nation. The previous record for fatalities was reported late in April, when the country experienced another massive wave of infections.

The number of new infections registered over the past 24-hour period hit a new high as well, reaching nearly 40,000 cases.
Since the beginning of the pandemic, Iran has registered more than 4.1 million cases of coronavirus, including more than 94,000 deaths, putting the nation among the 15 worst-affected countries in the world hit by the virus. Iran also remains the worst-affected nation in the Middle East region.

The current wave, which has already become the worst in terms of the total number of cases, has plagued the country since June. The surge is believed to be linked to the highly contagious Delta variant, which was first detected in India in late 2020 and has since spread across the globe.
Sisi watanzania wengi ni wapumbavu sana,tunapenda kuona udanganyifu ukifanyika kuliko ukweli.

Watanzania lazima wangesema tu kama hiyo si chanjo kweli kazuga tu huyo raisi kuwadanganya wananchi.

Sisi ndio watanzania tunapenda sana kupinga uwazi alafu tunakubali uficho wenye mashaka
 
Kwanini Zanzibar wanachoma sindano za China na Bara wanachoma sindanono ya Johnson Johnson za Marekani
 
Viongozi wetu wa kitaifa ikikupendezeni AWAMU IJAYO YA CHANJO TULETEENI CHANZO KUTOKA IRAN NA CHINA, hizi zingine ahhh atasiongei sana miye
We have better means than any of these. Utumwa utaisha kwa kufikiria solutions from inside kabla ya kuvuka mipaka,..... , underutilization of national resources, decapacitation of talents, deprived creativity, dormant rendered intellectual abilities, hampered human development, fortifying dependency syndrome, sustaining vicious circle of poverty, opening doors for endless exploitations, susceptibility, and permanent slavery. It takes integrity to do the right things rightly.
Labda tunaweza kuhitaji muundo tofauti, pengine kwa kujitambua nafasi, uwezo, fursa na nafasi yetu katika macho ya dunia isiyo na huruma, haki wala usawa.

 
We have better means than any of these. Utumwa utaisha kwa kufikiria solutions from inside kabla ya kuvuka mipaka,..... , underutilization of national resources, decapacitation of talents, deprived creativity, dormant rendered intellectual abilities, hampered human development, fortifying dependency syndrome, sustaining vicious circle of poverty, opening doors for endless exploitations, susceptibility, and permanent slavery. It takes integrity to do the right things rightly.
Labda tunaweza kuhitaji muundo tofauti, pengine kwa kujitambua nafasi, uwezo, fursa na nafasi yetu katika macho ya dunia isiyo na huruma, haki wala usawa.


taifa letu ni lazima liwe na vipaumbele vya utofauti kwa elimu tofauti ili kupata wataalamu nguli watakaoweza kufanya vitu kwa ajili ya taifa husika for now we cant void dependence esp kwa utaalamu ambao hatuna na kwa kuwa kuna hili na mabeberu wanalifahamu basi hilo hutumika kama malango yao ya kufanya lile wakusudialo nchi kama china walishaliona hilo mapema sana
 
Back
Top Bottom